@veriafya: Tunatumaini Ushauri huu ulitolewa na Doris Katana, Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kupitia mahojiano Maalumu na Mwananchi Digital umekusaidia, hususan kama Mwanao husumbua sana wakati wa kula Share na Wazazi wengine wanaopitia changamoto hii ili uwasaidie pia.