@lilymediaa: Basi kampuni ya Maning Nice inayofanya safari zake kutoka mkoa wa Dar es salaam kwenda Mkoa wa Ruvuma na kusababisha majeruhi kwa abiria waliokuwemo katika basi hilo. Kufuatia ajali hiyo, Kamanda ACP Banga amefika katika Hospitali ya R ufaa Mkoa wa Njombe kuwajulia hali majeruhi hao. Sambamba na hilo, Kamanda amewataka madereva kuendelea kuzingatia sheria za Ajali hiyo inahusisha basi la kampuni ya Maning Nice linalofanya safari zake kutoka mkoa wa Dar es Salaam kwenda mkoa wa Ruvuma, na imesababisha majeruhi kwa abiria waliokuwemo ndani ya basi hilo. follow for more updates #yangasc #lilymedia #simbasc #maningnice #trendingviralvideo
lilymedia
Region: TZ
Saturday 20 June 2026 19:59:55 GMT
Music
Download
Comments
iam_anie🦋🥰 :
asantee Mungu amna aliyefariki jmn Mungu awaponye wote wenye majeraha
2026-06-21 06:18:54
90
Dullahtz@ :
michezo iendelee
2026-06-21 03:26:46
24
Joseph :
poleni
2026-06-21 08:26:26
4
Mwanahawa Majimoto :
mungu awasaidie wapone jamani 🙏🙏🙏🙏
2026-06-21 05:08:34
20
eckii88 :
MWENYEEZI MUNGU MWEMA San hakuna aliye farikiii🙏
2026-06-21 10:00:41
10
Ramadhan mweta :
alhamdulinlah mungu ashukuliwe kuwaepusha na vfo
2026-06-21 07:46:38
12
Shadrack Haule :
poleni sana wasafiri wenzangu
2026-06-21 06:21:48
8
Mwaluvondo 2000 :
siyo finyu SEMA mbovu inamashimo sana tuwe wakwel mbona madeleva jayina watetez wakat mwingine
2026-06-20 23:44:20
10
Ramadhan Juma :
Polen sana Mwenyewezimungu mwingi wa Rehma wajalie majeruhi wote afya njema na balaka katika maisha yao 🙏🙏🙏
2026-06-21 12:37:10
5
officially curyde :
duuuh poleni jamn mungu Awaponye🥺🥹
2026-06-21 05:28:11
12
annajohn :
pole san
2026-06-21 11:02:47
1
BabyNey🥰🥰 :
mungu atunusuli sisi watafutaji tunao safili kila mala
2026-06-21 05:32:18
8
Quiver :
mamaeee walikuja bila kulogaa
2026-06-20 21:57:31
6
Rojey Boy :
daah polen sana iso Kona sa njombe me najua vizur tu 🙏🙏
2026-06-20 22:05:47
12
rosemary :
poleni jmn😭😭🙏
2026-06-20 20:55:45
8
KIJANA XMART💥🚛🚛💶 :
juzi Leo Tena
2026-06-20 21:51:40
5
aunt killer :
aisee polen san
2026-06-21 10:27:10
1
ameenatanzania :
Polen family
2026-06-21 13:55:23
0
naiver :
maning nice 😭🥲why always u
2026-06-21 05:36:19
9
R.A.P.H.A.E.L :
Asante Mungu kwa kutosikia taarifa ya mauti🙏🙏
2026-06-21 17:23:02
1
Hassan kalele % :
20/20 NALIPA 🙏🙏🙏🙏 %
2026-06-21 06:41:02
4
juniory DI :
Asante mungu kwakuokoa ndugu zetu ninampango wakwenda nyumban ila baba ukanitangulia
2026-06-21 09:22:26
3
tryphone silla :
Ni muda wa watumishi wa mungu kuliombea taifa ajari zimezidi
2026-06-21 08:55:30
4
UBORAKWANZASOURCINGAGENT🇹🇿 :
hiyo Kona ni noma, Dereva alikuwa mgeni wa njia
2026-06-21 05:35:43
2
To see more videos from user @lilymediaa, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.