kabisaa hatuna shida na wenzetu ila wasituchagulie viongozi
2026-06-21 17:55:22
27
fire momma :
good advice ila umesahao kuwaambia wakipewa kazi wasikubali pesa za chini kuliko wenzao
2026-06-21 20:10:36
4
king epitom :
tusiwaone kwa election plz plz
2026-06-21 19:56:06
10
Tonny Clizz :
bro waambie pia wawache kuchukuliwa kw bei ya chini man wanafanya sisi wenyeji kukosa kazi sasa yani kazi kama ya mjengo n mia sita(600) ila wao wanaifanya kw mia nne ambapo sisi wenyeji hiyo mia nne n kidogo mnoo tafadhali tukikasirika na wao wasituone wabaya santi
2026-06-21 18:23:47
10
Mohamed Rashid :
Una sema kun wengne wamechelewa eti ..
2026-06-21 18:26:02
3
Dal🦅 :
Hatuna shinda na waburudi,but siasa za wakenya tuanchie
2026-06-21 19:33:41
2
Dan Teh the engineer🥰 :
umeongea vizuri
2026-06-21 18:16:56
8
kangboy busyness :
brother tutaenda wasijali lakini Mungu yupo nimewasoma myaka8
2026-06-21 20:57:32
1
Godfrey :
thanks bro
2026-06-21 20:39:54
1
user146312781913 :
wasijaribu kupatikana kwa kura zetu
2026-06-21 21:16:22
3
KEYA 🫴🇰🇪🌍 :
we ndio Ume bonga Kitu bro 👉 siasa ni Yetu Sisi wakenya hatutaki Kuwa fukuza kama South Africa we Fanya kazi wache Sisi Tutengeneze Kenya 👉🇰🇪 Thanks 👍 to took
2026-06-21 16:45:41
8
director max :
ushauri mzuri lakini mbio nayo mtakimbia
2026-06-21 19:39:41
1
Levy001 :
hapo umenena bro
2026-06-21 17:21:34
4
𝑺𝒎𝒊𝒕𝒉 Ø𝑮1234 :
Asante sana ndugu yangu!sisi tuko hapa kenya mambo ya siasa hatujali nayo ss nikutafta maisha yetu ikipatikana turudi kwetu.hapo tunasingiziwa kwamambo hio sisi hatujui siasa yao inaelekea wapi kitu naona tu kwa muburundi Let's keep strong together kwakutafta turudi kwetu
2026-06-21 13:28:53
5
Abdalla Muhamed :
good advice, to maintain and meditate
2026-06-21 19:30:49
1
Wenwa :
Hongera ndungu
2026-06-21 19:12:27
1
Bernard254 :
ni hivo brother very good
2026-06-21 15:27:01
2
Jay jules barutwanayo :
very well
2026-06-21 16:00:21
1
David Davief :
kweli brather
2026-06-21 18:22:33
3
Erick Nduwimana :
asante
2026-06-21 15:23:53
1
silas kaniala :
ushauri mzuri sana bro
2026-06-21 19:22:18
1
kalemu74🇰🇪 :
Waambie tena na tena vizuri and let it sink well well 😊
2026-06-21 21:11:49
1
joshua543🇰🇪🇰🇪🇰🇪 :
hongera kwa maogezi mazuri🥰🥰🥰
2026-06-21 19:07:35
1
Nelson (Issah❤️) :
respect brother 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪waambie
2026-06-21 19:23:26
1
Diella :
kbx
2026-06-21 16:12:58
1
To see more videos from user @miraculolopa, please go to the Tikwm
homepage.