@khalifa.said4: kodi ni mbinu iliyobuniwa kuwatapeli wananchi, kutoa pesa kutoka kwa wale wanaozitolea jasho na kuziweka mifukoni mwa wale waliopo madarakani!
Assalam Alaikum. Alhabib nakusikiliza tu basi napata khofu. Sitaki upate tatizo akhui kwani ukitanguliza ukweli ujiandae na hatari. Allah AKUHIFADHI
2026-06-22 07:48:19
13
Alifurniture :
ukweli mtupu unaongea
2026-06-21 15:00:23
14
Simeon mogravic 🪖🪓 :
uko Sahihi full like
2026-06-22 06:57:57
6
ismailwazirisumai :
big up broo akili kubwa
2026-06-22 06:23:40
9
Defrost :
Hii tafakuri kubwa sana
2026-06-22 16:57:30
1
Rooney Kiwelu :
mr fact thanks🥰
2026-06-22 07:18:20
6
FIT_AND_FANCY_SHOES_STORE :
ALLAH AKUHIFADHI 🙏
2026-06-22 12:33:34
2
Darmesh Muhamba :
hapa Allah peke yake atunusuru🙏🏽
2026-06-21 23:16:56
7
Mick omel :
Atari sana 💯 pc
2026-06-22 10:50:18
2
ᴋaꜱᴜɴᴀ :
ukweli brother
2026-06-21 14:44:13
8
ABUU SAAD :
watawala sio viongoziii🤝
2026-06-21 20:48:42
5
user2504905005427 :
kijana mashallah mollah akuhifadhi
2026-06-22 13:19:21
0
Binrashid :
Broo una madini nakufollow 🫡
2026-06-22 14:28:08
1
No_Body. :
sauti hii niya ukombozi
2026-06-21 14:20:28
8
BoazJD :
unahitaji shulebya kadi. unachanganya mambo! Tax Vs Corruption Vs Govt efficiency.
2026-06-22 04:42:43
3
iFady.com :
true story
2026-06-22 08:04:55
1
vaps49 :
Unahoja za msingi
2026-06-22 06:07:05
2
user26425732269 :
Taarifa Mheshimiwa 🤚🏾🤚🏾
2026-06-22 06:35:37
2
officialJezzy Marley :
fact bro 💯💯💯 mm nilisha waza kitu hiki bro kwa mfano mm na wezangu watu tukakubaliana kuchanga elf 50 kwajili ya kila mmoja wetu kupat nyumba after miak mitano sas tukachang na tukajeng nyumba tuka mkabidhi mmoja wet je ni saw yule tulie mpa nyumba aendelee kulipa Ile elf 50 na Kodi ya nyumba tulio mpa kwa pesa zake mwenyewe hap ndio nilipo chok na Leo nakusikia bro unaongelea hili I like it
2026-06-22 06:04:49
2
zamani🧔 :
Akili kubwa
2026-06-22 04:21:11
3
Jovent Mugisha Mushwaimi :
Huna baya kabisaa
2026-06-22 05:10:07
2
mpemba-agents :
nilienda hospital kumpeleka mdogo wangu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
2026-06-22 04:31:29
2
anchwi chwi :
kwer kabsa
2026-06-21 23:53:00
3
ralph_i♍ :
Very interesting topic.
Hii inahitaji Mdahalo kabisa. Kwa sababu tumefika hapa kwa sababu kodi zimekuwa zikitumika kinyume na dhumuni la uwepo wa kodi.
Lakini, endapo ufanisi katika utilisation ikiwa nzuri, na muundo mzuri basi kodi ni kitu kizuri sana.
Maoni yangu lakini, 😁😁
2026-06-21 17:56:06
4
To see more videos from user @khalifa.said4, please go to the Tikwm
homepage.