@mwl.emilian.katub7: Zaburi 118:25 Ee BWANA, utuokoe, twakusihi; Ee BWANA, utufanikishe, twakusihi. Nimekuombea wiki hii mambo haya mawili katika jina la Yesu Bwana akuokoe na kila jambo lolote baya ambalo limepengwa katika ulimwengu wa roho kinyume na kusudi la Mungu Lakini pia Nimekuombea wiki hii Mungu akufanikishe katika jina la Yesu, lolote utakalo lifanya, lolote utakalo shika kwa mikono yako Bwana alifanikishe katika jina la Yesu
ee bwana uniokoe unifanikishe uniokoe na vikao vya siri vikashindwe kwa jina lako yesu
2026-06-22 05:27:48
146
Faith Medza :
Amen .... Eeh Bwana naomba uniokoe na unifanikishe Nakusihi
2026-06-22 05:24:38
49
Alex kaptali :
amen amen and amen 🙏
2026-06-24 07:20:20
0
user7278521359122 :
Ee Bwana Uniokoe nakusihi,Ee Bwana unifanikishe katika mipango yangu( dissertation report writing)
,uchumi wangu ( gari langu likapate kazi nipate hela ya kupeleka wageni mbugani illi nipate hela ya ada)
Mungu uwafanikishe watoto wangu
2026-06-22 06:29:42
17
princes flory🤍 :
Ee bwana naomba uniokea na kunifanikisha Kama unaamin wiki hii mungu atafungua Milango yote iliyofungwa na adui na baraka za bwana ziwe juu yetu zaburi :118:25
2026-06-22 04:43:26
15
The winner🙏 :
Ameen kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth 🙏🙏🤲
2026-06-22 17:29:10
13
official ParkTZ :
ee bwana uniokoe Mimi na familia Yangu na kusihi amen
2026-06-22 19:05:00
6
salome deus :
Ee bwana uniokoe nakusii
2026-06-22 07:00:00
14
user1837815083946 :
Jesus Christ Niokowe baba
2026-06-24 04:12:26
0
its cetie :
: ee bwana uniokoe unifanikishe uniokoe na vikao vya siri vikashindwe kwa jina lako yesu
2026-06-22 07:00:19
3
Mamy Cynthia :
Ee Bwana uniokoe nakusihi eee Bwana unifanikishe nakusihi katika Jina la Yesu Kristo🙏