@veriafya: Dkt. Godlove Mbwanji, Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, akizungumza katika mdahalo wa “Waandae Watoto wako katika Dunia inayobadilika” ulioendeshwa na Hospitali hiyo alisisitiza umuhimu wa wazazi kutokuhukumu watoto kutokana na maksi wanazokuwa wanapata darasani, kwani huo si mwisho wa maisha. Kama mzazi au mlezi, ujumbe huu umekusaidia chochote? Tuambie kwenye komenti!