@cuppsena:

лютикк
лютикк
Open In TikTok:
Region: BY
Monday 22 June 2026 16:41:12 GMT
5849
1133
31
29

Music

Download

Comments

_alna_43
«_Al❤️na_» :
красивая как луна 🌖❤️
2026-06-22 16:52:22
7
schastliviy_original
schastliviyphotograph :
2
2026-06-22 16:42:56
0
zenit_force
ambalAGRESS :
кст почему этот ник? и где старый
2026-06-22 18:56:38
1
operator_irkutsk
Оператор постарался на славу :
Привет тетя Люда
2026-06-23 03:02:42
0
hype.of1cial
depre??ed Hype :
божеее какие шикарные глаза
2026-06-23 06:44:42
0
_lamper_ll
_LAMPER_ :
Тетя го гулять😍
2026-06-23 00:22:09
0
kiriiieshkaa
Taamatama :
2026-06-22 16:45:19
0
amnesia_dead
l'm alone :
имба
2026-06-22 17:00:54
0
bobby545555
солдат доброкольного фронта :
у меня нету
2026-06-22 17:01:48
0
gargomelik6
тгк:gargomelikk :
текст выучи боже
2026-06-22 19:44:07
0
usopp_37
kopeyka :
жду привет от автора день 33
2026-06-22 19:06:32
0
naaaahhhhhhhhhhhhh1
нет корсара :
не
2026-06-22 16:47:59
0
kolbaskin_gg
kalbaskin)) :
Супер
2026-06-22 16:42:56
0
xifcy9g7tf4s5
КУЛЬ :
напиши мне лс пожалуйста
2026-06-22 17:03:34
0
lemonik16
Lemonik :
незаметно похвасталась
2026-06-22 16:49:05
1
rubin_orig
rubin_orig :
Четко
2026-06-22 16:43:41
0
userst753
× :
оооо
2026-06-23 07:14:48
0
5yr5t2554r
¿? :
Я хочу жениться на вас
2026-06-23 06:48:13
0
nilloved369
vaspley :
первый
2026-06-22 16:43:03
0
joost_bro0
JooKie🩵 :
2026-06-22 16:44:44
0
grozaykt2
попов герман :
Го огонёк
2026-06-22 17:05:01
0
maxay_123
MaXaY | ᴨᴩоᴄᴛо ʙ ᴄоᴧо :
кто-то подсел на капсайза)
2026-06-22 18:37:15
0
To see more videos from user @cuppsena, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema (BAZECHA) Mkoa wa Mbeya, John David Mwambigija, amesema kauli na msimamo wa aliyekuwa Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenani, kuhusu matukio ya utekaji na mauaji nchini bado unakumbukwa na wananchi hadi leo. Mwambigija alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Mpanda Mjini mkoani Katavi katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliofanyika Mei 31, 2026. Akimpongeza Khenani kwa kile alichodai ni ujasiri wa kusimamia masuala ya wananchi, Mwambigija alisema wananchi wengi bado wanakumbuka hatua yake ya kujaribu kuwasilisha hoja ya dharura Bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji yaliyokuwa yakiripotiwa nchini.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema (BAZECHA) Mkoa wa Mbeya, John David Mwambigija, amesema kauli na msimamo wa aliyekuwa Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenani, kuhusu matukio ya utekaji na mauaji nchini bado unakumbukwa na wananchi hadi leo. Mwambigija alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Mpanda Mjini mkoani Katavi katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliofanyika Mei 31, 2026. Akimpongeza Khenani kwa kile alichodai ni ujasiri wa kusimamia masuala ya wananchi, Mwambigija alisema wananchi wengi bado wanakumbuka hatua yake ya kujaribu kuwasilisha hoja ya dharura Bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji yaliyokuwa yakiripotiwa nchini. "Aida Khenani, kinyozi hajinyoi. Kuna hoja uliongea Bungeni lakini mpaka leo wananchi wanaikumbuka. Uliposimama kuomba hoja ya dharura kuhusu utekaji na mauaji katika taifa hili, huku ukimuomba Dkt. Tulia Ackson wakati akiwa Spika wa Bunge, lakini hukusikilizwa," alisema Mwambigija. Mwambigija aliendelea kudai kuwa Khenani alikuwa miongoni mwa wabunge wachache waliokuwa wakizungumza kwa uwazi kuhusu masuala hayo licha ya kuwepo kwa idadi kubwa ya wabunge wa chama tawala. "Aida ulizungumza peke yako kati ya wabunge zaidi ya 300 wa CCM ambao hawakutaka kuelewa," alisema. Kauli hizo zilipokelewa kwa shangwe kutoka kwa baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano huo, ambao ni sehemu ya mikutano ya hadhara inayoendelea kufanywa na Chadema katika maeneo mbalimbali nchini kwa ajili ya kuwasilisha ajenda zake za kisiasa na kitaifa.

About