@ihsaantv: BAADHI YA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO KATIKA KUIPAMBANIA SUNNAH TANZANIA | Sheikh Salim Barahiyaan Katika video hii maalum ya IHSAAN TV, tunatazama kwa kina baadhi ya changamoto, misukosuko na mitihani aliyokutana nayo Sheikh Salim Barahiyaan katika juhudi zake za kueneza na kuipambania Sunnah nchini Tanzania. Licha ya vikwazo mbalimbali, alibaki thabiti katika kusimamia ukweli kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah kwa uelewa wa Salafus-Swaalih. 🎥 Tazama video hii ujifunze: ✅ Changamoto za Da‘wah ya Sunnah Tanzania ✅ Msimamo wa Sheikh Salim Barahiyaan katika kuutetea ukweli ✅ Umuhimu wa subira na uthabiti katika Da‘wah 🔔 Usisahau kujiunga na IHSAAN TV, Youtube kwa kuwasha alama ya kengele, kupenda video na kuisambaza ili wengine wanufaike. #ihsaantv #redioihsaanfm102 #ansaarmuslimyouthcentre #ansaarmuslimyouthcentre