@tangawizipori: Replying to @nurvent1 ●Kuna malalamiko mengi sana ya wanawake wanaoenda kupiga Ultrasound na kuambiwa milango na mji wa uzazi viko safi, lakini bado mzunguko wa period haueleweki na ujauzito haupatikani. ●​Shida ambayo wengi hawaambiwi ni Uchafu wa Ndani wa Mfumo (Systemic Toxins). ​Dada alikuwa na mrundikano wa uchafu ulioganda tumboni. Unapokuwa na sumu na mafuta mabaya yaliyozunguka mfumo wako wa ndani: ​1. Mayai yanashindwa kukua Yanabaki kuwa madogo sana (underdeveloped) kwa sababu hayapati virutubisho sahihi. 2. Mji wa uzazi unakuwa wa baridi Sumu zinaharibu uwiano wa homoni, mwili unashindwa kutengeneza mazingira ya kupokea kiumbe kipya. ​Ukitumia njia za kemikali za kulazimisha period, unakuwa unasafisha nje tu lakini uchafu wa ndani unabaki pale pale. Ndio maana kuondoa sumu na mafuta ndio siri kubwa ya kuamsha mfumo wako wa uzazi urudi kwenye uhalisia wake. ​Kama una changamoto ya mzunguko kuvurugika au unatafuta mtoto na unataka kuelewa jinsi ya kusafisha mfumo wako kwa njia salama ya asili. Hapo chini au njoo inbox nikueleze kiundani bure. #creatorsearchinsights #fypシ゚viral #TangawiziPori

TANGAWIZI PORI  | 📍Mwanza
TANGAWIZI PORI | 📍Mwanza
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 23 June 2026 09:03:34 GMT
393576
5509
175
237

Music

Download

Comments

cheboptui3
cheboptui :
how?
2026-07-05 12:45:04
1
neymamy3
neymamy :
Mungu mwema hii kitu yan uchafu unatoka kadri unavotumia yani me ndo chai yangu before sijala kitu naanza na hiyo basi aaaaah mambo safi kabisa
2026-06-26 22:52:07
9
lucykibe1
Lucy :
this made me slim now l need how to gain weight
2026-07-05 08:35:07
0
philisbeb3
God is with me :
mi nataka mtoto 🙏🙏🙏🙏
2026-06-24 08:14:46
7
dottontwale06
ntwale :
jamani kama hamna frij umaitunz wao sasa
2026-07-04 17:43:49
2
user8632351143280
user8632351143280 :
nitajaribu
2026-07-03 09:37:42
1
user7084982448746
user7084982448746 :
nami nimeanza naomba mungu abariki hiyo dawa kwa kila atakaye tumia nanyi piya muliyo tuelekeza mubarikiwe
2026-07-02 13:06:39
2
krevomaneno
clever :
unatumia siku ngapi
2026-06-24 14:16:41
6
siren92317
siren🦋❤️ :
Nzuri sana hii🥰🥰
2026-07-02 06:40:21
1
user2179844242228
stella baton :
unaweka nini na nini
2026-07-02 19:07:52
1
cecy_accessories
Cecy 〽️auzo 🍁 :
Mwanza sehem gan
2026-06-23 19:18:12
5
user3765245016619
user3765245016619 :
msaada
2026-06-25 19:44:51
2
nicenansio
nice one :
kwel
2026-06-26 12:44:49
1
janethmichael9
boniveture Samson alila :
msaada pls
2026-06-26 16:42:17
2
evert5907
Evert :
hey
2026-06-26 20:27:35
1
user8663611038734
nchamalucas 03 :
nisandie
2026-06-27 04:42:59
1
zuu6187
Zuu :
Naomba maelekezo ndugu yangu
2026-07-01 11:49:58
4
cutyvany
tee💜 :
nilitumia jmn now niko saf namshukuru saan uyu dada🙏
2026-07-05 19:50:06
1
damaclinemoraa615
Damacline Moraa :
aky nisaidie unatumia nini na nini plz
2026-07-04 12:25:43
1
sharzsharon.nanja
sharzSharon Nanjala :
nisaidie plz
2026-06-25 20:13:17
4
sarah.dominic7
Sarah Dominic :
nisaidie
2026-06-29 10:07:38
1
user81159283066987
user81159283066987 :
vipi
2026-06-27 15:14:17
1
issasaidy176
Issa Saidy176 :
habari
2026-06-26 04:49:32
1
shakepu.girl
shakepu girl💞💝 :
naomb kuelekezwa jmniii na inasaidia nn please
2026-06-28 07:51:10
3
annaernes
Anneth :
naomba
2026-06-25 13:10:16
1
To see more videos from user @tangawizipori, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About