@mtoto_wa_maria: Huu wimbo ni dawa ya roho, hakuna anayeusikiliza akabaki kama alivyo. Ni wimbo ambao unanikumbusha mambo mengi niliyopitia, yaliyoniumiza na kunijenga pia. Hivyo nawe sikiliza hadi mwisho, naamini kuna sehemu itakugusa. Usiache kuandika neno lolote kama umebarikiwa na huu wimbo, hapo chini kwenye comment. #gospelmusic #viralsong #christiantiktok #tanzaniatrending #fyp