@azoretechtz: Majirani wanaopenda kamseleleko kwenye WiFi safari hii mwisho wao umefika! 😏👇 Kama umechoka watu ku-enjoy bando lako free of charge, hii video ni yako. Hapa nimeeleza jinsi ya ku-hide jina la WiFi yako (SSID Broadcast) ili isionekane kabisa kwenye device ya mtu yeyote! Bye bye wazamiaji! ✋ Question: Umewahi kukumbana na jirani msumbufu anayeomba password kila siku? Drop comment yako hapo! Hit hio LIKE na FOLLOW kwa ujanja mwingine wa tech! 🚀 #techcommunity #wifiproblems #techtanzania #fyp #foryoupage