@kuro10936:

kuro
kuro
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 23 June 2026 19:22:51 GMT
78957
4917
107
265

Music

Download

Comments

frediefredi
fredie :
najibu kama dereva nikweli kabisa ela tunapata lakini matumizi makali lakini sio wote
2026-06-24 08:39:19
10
mjomba.wenu4
mjomba wenu :
Madereva sio masikini
2026-08-02 15:07:30
0
rashirdi3
Rashirdi :
uhakika kaka
2026-08-01 20:56:08
0
user4694971199906
user4694971199906 :
Huyo mzee amejibu kwa.usahihi
2026-06-24 17:41:35
8
hamicrashid
kalinga kasala :
hela ya dereva haina muhasibu, kila mtu anaitaka
2026-06-25 06:59:55
7
japharymberesero
Jeff master :
safi sana Mzee Hilo ndio jibu sahihi zaid
2026-06-28 22:50:50
3
mtotela.25
MTOTELA 25 :
je mnalipwa bei gani au unasema matumizi makubwa au mshahala aukidhi kubalanzi
2026-06-25 09:44:09
4
rafael.sanane
Rafael Sanane :
mwalimu wetu yupo poa sana
2026-06-24 21:55:03
2
johnmasanjanagwa7
🌍JOHN~M~NAGWA 🏀🇹🇿 :
wako wachache hadi raha sisi tuliikuwa 200😁
2026-06-25 08:01:23
2
ramadhaniikuja
RAMA :
bonge umejibu vizuri sana kaka
2026-06-29 20:30:44
1
user726137131072
Tumaini Ngallya :
Safi Sana
2026-06-29 05:57:39
1
asifiwerobert
MTEMBEZI WA TAIFA🇹🇿🇹🇿 :
mtuu wa maana sanaa huyu
2026-06-26 19:18:33
0
hammy.tz57
Hammy Tz :
Teacher wangu wa maana sn leo nimekuona huku ,nimefurah sn kwakweli ulinifundishab PSV mwaka Jana mwishoni
2026-06-25 07:39:18
0
its.chubah
yassir fahmi :
kwani hapa siwezi tuma voice nimjibu
2026-06-25 16:20:18
1
user9595007533090
BEA SIMBA :
hiikozi ya uchumi au udereva!? na umakini kwenye road!?
2026-07-06 15:58:58
1
user8673119334997
user8673119334997 :
😳😳wanalipwa mshaara sh ngapi? ndio mpaka useme dereva ana ela nyingi ?Awana mikataba Awana chochote madereva wengi wanaishi kwa kutegemea posho .
2026-07-17 06:47:46
0
baba.pphilipo.dam
baba pPhilipo Damian :
matumizi
2026-06-24 09:28:04
1
frediefredi
fredie :
tunaamin kilasiku tunapata
2026-06-24 08:39:42
5
stevie.rumba
Stevie Rumba :
Engneer nakuelewa kama
2026-08-01 19:36:29
0
hassan.kigumi5
Hassan Kigumi :
mzee nakubal
2026-08-03 19:31:32
0
ibra.laswai
IBRA LASWAI :
hakuna dereva analipwa milioni huo niuongo kipato nikidogo
2026-08-06 05:29:42
0
babeshsultanbabes
babesh sultan :
Braza kajibu vzr
2026-08-10 19:39:21
0
nagara7213
Nagara :
yani anayeonekana na kujadiliwa matumiizi ni dereva kwani hakuna tasnia ingine ya kuijadili kila kukicha mnawinda pesa ya dereva hilo hamlioni?
2026-08-04 17:54:44
0
mkata.umeme6
mkata umeme :
Nakukubali sana mkufunzi wangu Mungu akupe maisha marefu,kiufupi madereva wengi tunafanya kazi bila malengo kwa kuamini kuwa kazi tunayoifanya ni kazi yakutumia kipaji na cyo mtaji maana yake madereva tunaamini kuwa kazi yetu mtaji ni uzima na maboss kila siku wananunua vyuma
2026-08-09 16:41:50
0
user61446580557286
user61446580557288 :
mh
2026-06-26 13:20:47
0
To see more videos from user @kuro10936, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About