@kijiwe_cha_kamali: #hanscana

HANSCANA
HANSCANA
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 24 June 2026 06:06:50 GMT
124390
7601
268
137

Music

Download

Comments

frankfuture3
Nestory Frank :
alow to save
2026-07-23 10:18:00
0
makunguorg
salleh Sebastian :
HABBEUS COPUS
2026-07-22 21:40:42
0
user1549544818525
lets talk 😂😂 :
nishaijua move hiyooo😃 inaitwa I will find you
2026-07-22 06:40:02
0
mikidadijuma495
Mikidadi Juma :
hiyo ni both teams to score🤣🤣🤣🤣
2026-07-21 22:15:08
0
kelvinmassu
Kelvin🇹🇿 :
@Kelvin🇹🇿:HAKUNA HUKUMU INAYOTOKA BILA USHAHIDI,, KO JAMAA HAJAHUKUMIWA SABABU USHAHIDI MAITI ALIYEUWAWA HAUJAONEKANA,,, ushahidi kwanza ndio mtu ahukumiwe,,, hao jamaa wamejibu swali ambalo ni mtego tu na wamekosea wote
2026-07-23 07:26:21
1
amrish_puri6
...... :
anything happen after offside is not fault, same wise na apo😁
2026-07-22 03:38:17
0
yu.yu25_0
Hakeem og tha realest.25_🥷 :
Ill sue that court
2026-07-22 12:52:54
0
americars96
Kelvin_969_ :
Hans ana mpango gani?😀
2026-06-24 06:11:42
66
davor0125
Davor01 :
iyo picha ya kiindi Tena ya siku nyingi sana kaka Amita bachani ila yeye alienda kuwa mahakamani ili
2026-07-21 13:55:11
5
user9995691116561
*@DETA@*7 :
najua ni mpango wa both team to score no😱😱😱😱👽👽👽👽
2026-06-24 12:35:15
10
mrsmile20official
Mr Smile😁🫡🤗 :
Story kwenye movie ya kitambo sana ya Amita Bhachani jina la movie Amdha khanoon😁😁
2026-06-24 12:48:21
52
swaiba_tanzania
swaiba_tz :
hiyo ni movie ya kihindi
2026-06-24 11:21:09
18
profile.pich
profile pich :
achana kuhungana na watu wew
2026-07-22 01:07:42
1
chekanao703
chekanao :
m namuuwa kwel
2026-06-25 21:55:09
6
mohamedy.mchekenje
Mchekenje JR :
Mi kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu naeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la maana ndugu zangu
2026-06-24 11:53:05
6
rwechubodybeauty
rwechubodybeauty :
Unaangalia sana movie mzee😂
2026-06-24 12:27:03
8
fficiallearner
Official Learner :
hans yupo anapika kitu tusubiri
2026-07-14 22:30:26
1
mwesigemuhozi
@swes :
gg
2026-06-26 11:45:21
1
pablodee007
DeE Pablo :
Huyu jamaa ndo alkuwa director kwel??…au co hanscana huyu
2026-07-15 12:46:27
2
user7916811740275
[email protected] :
Mimi ningemuwa mbele ya mahakama ili nitumikie vzl
2026-07-15 23:25:55
1
silvermedard
Silver Medard :
apo Kuna kuwa na kesi 3 1. kuua ( kesi feki) 2. kutoloka (mfungwa Vs serikali) 3. kufungwa jela Kwa kosa feki ( mshitaki Vs mshitakiwa) kwaiyo mpka hapo muukumiwa lazima ataludi Kwa muda jera Kwa kosa la kutoloka apo atakuwa anapambana na serikali, Pia ataweza kumshitaki Kwa kumsingizia ivyo wote wawili wanaweza kwenda jera
2026-07-14 13:36:45
4
mr.desert2025
MRDT :
HIYO NI VIDEO YA ANDHAAA KANOON
2026-06-26 14:01:41
3
eddomwak
eddo mwak :
hamzaaaaa canunii
2026-06-24 18:43:03
4
mjombawakariakoo
Mjomba DDC(Msimbazi Kariakoo) :
Mi kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu naeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la maana ndugu zangu
2026-06-24 11:59:16
1
To see more videos from user @kijiwe_cha_kamali, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About