@taarifa_24: Makamu Mwenyekiti wa @chadematzofficial Zanzibar Said Mzee Said amehoji ukimya wa Jeshi la Polisi nchini na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakari Bin Zuberi, juu ya kauli za Sheikh Mwaipopo kuwa wale watakaoandamana julai saba watatahiriwa bila ganzi na kikundi chake cha 'Mbwa Mwitu'. Said amehoji akiwa mkoani Mbeya leo juni 23, ,2026 huku akitoa wito kwa Jeshi la Polisi, Muft wa Tanzania na Shura ya Maimamu kutoa tamko. #taarifa_24
Taarifa24
Region: ZA
Wednesday 24 June 2026 07:19:15 GMT
Music
Download
Comments
Zenna rashid 360 :
kweli sema baba
2026-06-24 08:21:02
29
shakt kapuur :
mwaipopo amekosea saana
2026-06-24 13:31:36
8
Namnyaki :
Haya ndo tunaelewa sasa!
2026-06-24 17:49:55
3
Bonge mpole💥 :
2026-06-24 16:32:41
1
user7907421881251 :
kweli kabisa baba asema vibaya
2026-06-24 12:48:47
5
Aidanist George :
2026-06-24 10:40:38
5
Jenifa :
Asante sana Baba
2026-06-24 11:45:10
5
Mjuni Matibu :
kwel baba
2026-06-24 11:19:43
6
Vitus Mapunda :
kweli kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-06-24 10:01:15
6
AJ 488330 :
Asante nime jua sasa
2026-06-24 08:29:04
7
Grace Joseph :
tunashangaa sana
2026-06-24 08:42:20
6
Avitus Albin :
Bravo 👏👏👏👏👏🌹💞💞💞💞💞💞💞🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐
2026-06-24 09:20:51
4
kidula :
sema baba
2026-06-24 18:27:22
0
Ntuzuboy :
Asante kwakutujuza
2026-06-24 18:43:55
0
Boss Kuvi :
huujui
2026-06-24 18:05:12
0
user47266941046922 :
Amina
2026-06-24 17:37:47
0
salumnassor210 :
nimejua leo
2026-06-24 09:29:06
4
salumupotalukolom :
Jambo gan
2026-06-24 11:43:45
1
aclaus one mtz :
nikikuta mikutano ya CHADEMA tu lazima ni like na ku comment
2026-06-24 11:14:16
22
nyoya 🪶 Mtoto :
kama unampinga mwaipopo gonga like 👍
2026-06-24 14:33:54
8
Chiristina Nyarusi :
mimi naamini viongozi wa nchi hii hawana hata uoga mbele za mungu ndiyo maana kuna mtu mmoja wa ccm alisema mungu atake asitake ccm lazima itashinda.
2026-06-24 08:24:16
12
Hakimu wa geto 🔥 :
akili kubwa ✌🔥🔥🔥
2026-06-24 09:19:38
5
Buruhan athumani :
kweli
2026-06-24 07:50:22
7
To see more videos from user @taarifa_24, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.