aisee hili jambo limepotoshwa Sana kumbe Mbunge alikuwa na maana nzuri Sana
umefanya jambo la maana Sana maana wantanzania wengi hatuna Muda wa kufuatilia jambo mwanzo mpaka mwisho
2026-06-24 15:08:25
107
Peter_enterprises :
kumbe mzee alikuwa na maana nzuri tu
2026-06-24 18:08:59
93
Patrick Mlelema :
big up bro
2026-06-24 16:13:21
1
Mkali Ukwaju :
Hawa chadema some times ni samjo
2026-06-24 07:37:00
15
Innocent Mesut Ozil :
mbona Kama Ww Ndo Fala
2026-06-24 17:58:09
42
Abou Enzo 08⚽ :
mzee kaongea point sana ila hechee mngese sanaaa
2026-06-24 08:29:43
72
Christopher Hezron :
kaongea point sana sema wamemnukuu vibayaa
2026-06-24 17:02:41
29
markogwaltu :
Mbunge alikuwa sahihi, Asante kwa VAR maana kulikuwa na upotoshaji
2026-06-24 20:06:47
24
ALFREDAZIWEL.JR :
hii video imeeditiwa msimuamini huyu fala
2026-06-24 18:54:21
11
joyceladslaus :
dah hata mimi nilikua sijaelewa afadhali umenielewesha.