Mimi napenda ulisema ukweli na viongozi wetu hawataki kuambiwa ukweli Allah akupe kheri
2026-06-24 10:01:33
12
Che Guevara :
hunabaya professor, Mungu akupekheri inshaallah
2026-06-24 12:20:22
8
William Wakibara :
mzee Bado unaota cheo mpka Leo isje ikawa uliwahiwa nn mzee wangu tukio la miaka mingi Ivo mpka Leo unalkumbuka hujasahau tu mpka leo
2026-06-24 13:45:24
0
HASAO :
full interview iko wap
2026-06-24 09:17:03
2
Desdery Luburi@ Baba 5Ds :
daa
2026-06-24 11:45:41
2
Baba Yuu :
@pary2
2026-06-24 13:24:56
0
Hardtaget :
Magu alikuwa mtu sana ila aliongoza kihisia na majivuno mno kinaya zaidi hakufahamu aliowaamini na kuwapenda ni wabaya wake. Huyu mtu alikuwa mtumuhimu sana kuelekea kile alichokuwa anataka. Uongozi ni zaidi ya ya alichokifanya. Kama ni shimo alijichimbia mwenyewe mr president
2026-06-24 11:24:07
8
Jimmy :
Achana na vyeo vya kidunia
2026-06-24 11:42:41
3
luyahhhh✌ :
Be blessed always Mr Assad 💯💓
2026-06-24 13:17:37
1
LIX :
CAG🇹🇿🫡
2026-06-24 10:29:55
4
MOZE :
afu wote washaenda daaah
2026-06-24 10:31:21
3
To see more videos from user @babachanja01, please go to the Tikwm
homepage.