@dar_360_digital: ALIYEWAHI KUWA MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE JOSEPH YONA AMEWEKA HADHARANI SIRI ZOTE ZA VIONGOZI WA CHADEMA KISA KIKIWA NI MAANDAMANO YA JULAI 7, 2026.
mungu ikikupendeza ,Anza na huyu kiumbe, anaeongea Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-06-24 19:01:09
80
HEGEDAA JR :
njaa mbaya sana
2026-06-25 00:10:32
33
Dante cool :
Huo si hoja ya msingi, mzee. Tunachotaka ni haki, amani na uwajibikaji. Maendeleo ya nchi ni muhimu, lakini si suala unalolizungumzia sasa. Taifa linaweza kupata maendeleo ya kweli pale ambapo haki na amani vinatawala.
2026-06-24 19:46:57
22
mlinde mboje :
sasa apo unaongelea nini
2026-06-25 04:40:10
15
UNJANI 🇿🇦 :
kwa hiyo
2026-06-27 13:11:20
3
user2094629110399 :
Mimi kama nilipona tr29 namuomba Mungu niwe mtihifu kwa viongozi
2026-06-25 08:39:26
24
shabankarumie4 :
point yako ni nini.
2026-06-25 03:48:22
27
040858 :
MAMBO YA FAMILIA SISI YANATUHUSU NINI
2026-06-25 13:20:19
12
John Matogoro :
mungu chukua na huyo
2026-06-25 12:48:02
11
Roby :
Mimi nashangaa sanaaa kuona hizi taarifa za kitoto
2026-06-25 09:48:45
12
user8872292115306 :
mkuu huna baya hakukubali kwa sana tu
2026-06-24 11:59:24
11
ladybelikessy,🌟 :
Tukusaidiaje
2026-06-28 09:25:39
4
Minza-P :
Sasa ana Manisha Nini
2026-06-25 13:12:42
7
KNM :
kweli kabisa
2026-06-25 07:05:20
7
hamadi classic fashion :
iyo xio hoja ya mxingi Mzee ... mungu alaani uwajibikaji wako
2026-06-26 16:22:47
6
Sophia Ally :
mungu tusaidiye
2026-06-27 14:19:55
2
mnyawez classc homeboy🦚🎄🙏💖 :
mungu ikikupendeza chukua ili zwazwa likapumzishe uchawa 🙏🙏🙏🙏
2026-06-26 06:12:58
6
Sarafina :
Ni Heche
2026-06-27 09:37:22
1
Nankule mohamed Mkumba :
wasiopenda maandamano kama me gonga like hapa
2026-06-25 07:34:03
67
mussa thomas :
point ya maana sana
2026-06-24 22:52:06
9
Meshi Laizer :
Yote hayo ni njaa
2026-06-28 08:55:53
6
𝔸𝕣𝕠𝕪𝕔𝕖👊 :
Nakubaliii kaka unaongea pointiiii🥰
2026-06-24 18:13:27
10
mr baraka wa town :
mzee wa maana kabisa
2026-06-25 04:48:20
8
Nicephonne Boniface :
𝐒𝐨!
2026-06-26 18:31:50
1
To see more videos from user @dar_360_digital, please go to the Tikwm
homepage.