@waleedstc6: ماجد عبدالله الدولي #النصر #alnasser_lovers💛💙

وليد
وليد
Open In TikTok:
Region: SA
Wednesday 24 June 2026 11:48:10 GMT
52193
946
214
341

Music

Download

Comments

user4576536999877
أبوعبدالله :
قسماً بالله ماشفت مهاجم يبرد القلب زي ماجد عبدالله وجوده في الملعب يعطي راحة نفسية للاعبين قبل الجمهور .. من عاصر عهد ومجد ماجد يدرك ويعرف معنى كلامي .. تحياتي 🌹
2026-06-24 18:37:21
41
alnasr.alalmy
(عاشق العالمي) :
ماعرف العالم كرة القدم السعودية إلا من خلال اقدام ماجد
2026-06-24 16:51:42
20
amer3156
AMER :
ماجد رقم 1 بعدين عشر خانات فاضيه ثم ضع من تريد هذا ماجد لا يقارن ولا ينافس الا نفسه فقط
2026-06-24 18:34:55
23
abusaudabdullah
abusaudabdullah :
ارجوا من الاطفال عدم التعليق لانهم لا يعرفون شئ عن ماجد و لم يرونه يلعب
2026-06-24 19:59:43
32
ro0o7h
ζﺭۅ 🇸🇦 :
ماتلقى مثل ثقة ماجد بنفسه
2026-06-24 11:52:01
26
user2798798894014
user2798798894014 :
وبعدها سنتر سبع مرات مع أولمبي المانيا. وقتها عمره ٢٨سنة
2026-06-24 18:15:46
7
user61466307515933
💙 الزعيم 💙 :
ماجد يعتبر اسطوره الكره السعوديه شهاده حق ياما فرحنا زمان مع المنتخب ومن بعده ابو يعقوب 💙
2026-06-24 18:40:13
8
snsn458
snsn :
للفائده المنتخب ضد اولمبي البرازيل
2026-06-24 19:38:02
4
mda_alnsyan
مدى النسيان :
في هالبطوله سنتر امام المانيا على فكره
2026-06-24 14:09:08
0
blue_shark_m
القرش الأزرق 🦈 :
تراه البرازيل الاولمبي 😁 وفوقها هزيمه .. وثاني شي مرزوق العتيبي مسجل هدفين على البرازيل في كاس القارات 😁
2026-06-24 18:53:53
4
user67033877736747
طير السعد :
أنا هلالي لاكن ماجد عبدالله لا يتكرر بملاعب السعودية مثله والدليل كل لاعب يقارن بماجد الي الان تحياتي ماجد وبس
2026-06-25 20:02:00
1
kk14011
user3655523937097 :
اسطورة الوديات & مباراة في بطولة ودية (الكأس الذهبية) امام الفريق الاولمبي البرازيلي
2026-06-25 03:40:50
1
user4952856584813
تركي :
مهارات زيرو
2026-06-24 14:49:28
0
wla.shy2
ابو عنتر :
ماجد الاسطوره يلعب بثقة افضل لاعب في العالم . واثق من نفسه مايرتبش اثناء الهجمه هاديء يراوغ بهدوء وثقه واذا اراد تنفيذ ضربة جزاء تجده هادي وواثق . ماجد. اسطوره لن تتكرر حتى على مستوى العالم .
2026-06-25 05:05:11
4
user2666533220698
Saud :
نفس لعب سالم طيب وش الفرق
2026-06-25 01:05:30
0
user7442698290210
allo. 63 :
مع كل مباراة دولية لمنتخبنا نتذكر دائماً ماجد / النعيمة / الثنيان / فؤاد انور / فهد المهلل / سعيد العويران .. ايييييه !!
2026-06-25 18:06:42
1
oxgeen62
اوكسجين :
قبل الملايين ايام الفقر
2026-06-24 21:16:40
0
c511d
تلاوات :
هذا اول هدف عالمي للكره السعوديه
2026-06-24 21:22:16
1
abu.waleed67
Abu Waleed :
لازم اسطورتهم يشوف مقاطع ماجد لو يتعلم منه بس كيف الاساطير يشتون البلنتياب.
2026-06-24 19:12:59
0
hnoooyy
ال سلطان الأسمري :
عز الله يعزك
2026-06-24 21:28:40
1
dajdkr
Daj Dkr :
اللاعب الوحيد في اسيا وافريقيا الي سجل على اغلب المنتخبات العالميه🇸🇦🇸🇦🇸🇦
2026-06-24 18:44:45
4
il._.ilo
Hmdan :
بتاريخ نادي الهلال
2026-06-24 19:41:34
0
welding600
welding600 :
كم أسعدتنا ياماجد
2026-06-24 18:38:08
2
To see more videos from user @waleedstc6, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewataka wakazi wa Mji wa Mbulu kuachana na tabia za ubinafsi na kuwakaribisha wawekezaji pamoja na wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali, akisema hali ya kuwafukuza au kuwakatisha tamaa wageni wanaotaka kuwekeza inakwamisha maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, RC Sendiga amesema pamoja na halmashauri hiyo kupata hati safi, bado inakabiliwa na changamoto za kiutendaji na maendeleo zinazohitaji kufanyiwa kazi. Amesema aliwahi kuelezwa kuwa moja ya sababu zinazokwamisha ukuaji wa Mji wa Mbulu ni mtazamo wa baadhi ya wananchi kutotaka watu wa nje kuja kuwekeza katika eneo hilo, jambo ambalo linazuia ujio wa mitaji, mawazo mapya na fursa za maendeleo.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewataka wakazi wa Mji wa Mbulu kuachana na tabia za ubinafsi na kuwakaribisha wawekezaji pamoja na wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali, akisema hali ya kuwafukuza au kuwakatisha tamaa wageni wanaotaka kuwekeza inakwamisha maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, RC Sendiga amesema pamoja na halmashauri hiyo kupata hati safi, bado inakabiliwa na changamoto za kiutendaji na maendeleo zinazohitaji kufanyiwa kazi. Amesema aliwahi kuelezwa kuwa moja ya sababu zinazokwamisha ukuaji wa Mji wa Mbulu ni mtazamo wa baadhi ya wananchi kutotaka watu wa nje kuja kuwekeza katika eneo hilo, jambo ambalo linazuia ujio wa mitaji, mawazo mapya na fursa za maendeleo. "Nanukuu nilivyoambiwa, Mkuu, Mara nyingi kukua kwa mji kunataka mchanganyiko wa watu wanaokuja na aidia mbalimbali wawekezaji, miradi mbalimbali ndio mji unakua, Mji wa Mbulu wamewahi kukusanyana wakakusanya hela wakamuondoa mfanyabiashara mkubwa Muhindi alikuwa pale, wanataka wakae peke yao, sasa kukaa peke yenu mji hauwezi kupata vitu vipya, wananiambia kama una roho ngumu ndio utakaa Mbulu lakini kama una roho nyepesi hukai kwa sababu watakufukuza tu.” Aidha, amewataka wananchi kuendana na dira ya maendeleo ya taifa inayolenga kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika kuchochea ukuaji wa uchumi, akisisitiza kuwa Serikali ina jukumu la kuweka sera, sheria na miongozo, huku utekelezaji mkubwa wa maendeleo ukitegemewa kufanywa na wawekezaji pamoja na sekta binafsi. “Mji unakua kwa kupokea watu mbalimbali wenye mawazo tofauti, wawekezaji na miradi ya maendeleo. Mkifukuza wenzenu mtapata wapi maendeleo? Acheni watu waje wawekeze ili Mbulu iwe kubwa na iweze kunufaika kiuchumi,” amesema RC Sendiga.

About