mi huwa kuna mambo siyaelewi kwenye dini na sitakaa nipoteze muda kuelewa...niko kwenye my universe na ntafia huku na niko huru sana .....na respect kila mtu hadi wanyama ...nikiguswa kufanya jambo nafanya 🥰🥰🥰...
2026-06-28 23:01:04
5
Mc kirikuu🎵🎶 :
Yesu hajakalibia kuludi yesu kaisha ludi na yupo
2026-07-14 11:12:32
1
SAM MONEY :
swala lingine inawekanaje mchungaji 1 kuwaminisha watu 200 ama watumishi 200 kwa maombi ili wapate kazi, gari ama biashara wakt yy kachangiwa kununua gari na ameajiliwa na kanisa mbona watumishi 200 wasimuombee mtu mmoja ama mchungaji mmoja kwa maombi anunue gari ama kupata kazi.
2026-07-15 19:47:10
2
Oigold Wide :
😁 hatari sana,, inabidi tujue maana ya yesu kurudi kwa kwel🙌
2026-06-24 13:35:05
3
ibrainda :
nashindwa kuwaelewa 😅
2026-06-25 13:36:28
7
blaise yafoka :
niutapeli 😭 tu
2026-06-24 18:25:43
2
pendeza store001 :
@Davi
2026-07-17 12:26:10
0
bossah__vanessa🌹🌸🌻 :
Mm sijawah kuona kanisani kwetu wanachanga gari la mtumishi tunachangaga tu kwaajili ya ujenz wa kanisa au shule lkn sio gari la mtumish
2026-07-14 12:04:27
1
masika mathe :
wanatuchanganya wajuwe
2026-07-18 06:21:02
1
Mwamba Mgomi :
wameisha tuvuruga sana
2026-06-25 04:25:00
2
Papaa white :
tunatishwa tishwa tu,
2026-06-24 18:25:47
3
jojo's drinks shop :
ni utapeli tu
2026-07-16 21:16:45
1
AP PHILIP :
duuu
2026-07-20 10:22:22
1
nenokyando :
yaan we acha tu
2026-06-24 17:26:36
2
juma juma4 :
akuna aliye kufa akarudi ata yesu alikufa kama wengine hawezi kurudi tena
2026-07-21 08:51:06
0
26 life :
Mimi kunambo mengi sana huasielewi kutoka kwahawa watumishi lakini mungu kwalehmazake atusaidie sisi wajawake dunia inakwenda kasi sana
2026-06-30 17:29:27
1
black_n_white :
kiukweli inatafakarisha sana😅
2026-07-24 10:22:22
0
smoulderbeliever :
mtihan
2026-07-22 13:54:49
0
user499195986115 :
Nafikiri,uko kwa ajiri ya kuchalange,ila kama unataka kujua,ni hivi,mafundisho hasa ya Yesu ni ya kiroho,siyo ya kimwili,uwe tayari kiroho,na roho inaishi ndani ya mwili,mwili ni wa udogo,gari nikwa kazi za kimwili,kufanya kazi ya Mungu,
2026-08-05 11:26:33
1
RAIDEN.TZ :
nakubalii Mzee hawan akilai awa watu wa dini
2026-07-13 21:08:12
1
Vicent JJ :
Mambo ni mengi muda ni mchache 😂
2026-06-25 04:40:11
2
Agustino Nuhu :
hamna mchungaji apo broo mpeni jembe akalime2
2026-06-24 15:09:02
3
MTETEZI WA MSALABA :
Yesu alisharudi, Sema yeye hamuona.
2026-06-25 05:20:14
2
give mbwilo🇹🇿 :
sasa akija yesu mi inanihusu nini?
2026-06-25 04:01:09
2
To see more videos from user @christopher_musa, please go to the Tikwm
homepage.