Naomba msaada kuku wanadonoana sana tatizo ni nini?
2026-06-24 18:56:17
2
jane mbuch :
good information
2026-06-24 19:31:16
2
Fadhili Dini :
kuku wangu wana kula mayai nifanyeje
2026-06-25 15:45:38
1
devisi :
Nina kuku wangu huyu ana miezi mitatu anakula lakini nimeshindwa kumtibu changamoto yak hii naomba unishauri kama hutojali
2026-06-25 16:44:33
0
user7975025797265 :
Tatizo hilo ni kubwa sana kwa kuku Naomba tuambie dawa
2026-06-24 13:37:07
1
Fauxite B :
sometimes inakuwaga Fungus imegusa kwenye Joint hizo coz ya Banda kuwa Bichi ......D.C.P nayo inawezekana ila tunaanza na data ya kuangalia mazingira ya Kuku pamoja na Chakula anachopata ni Balance diet or not
2026-06-24 20:14:57
0
sayuni :
wangu alikua hv hv
2026-06-25 13:57:28
0
Logolie Marogo :
uko vizur
2026-06-24 18:40:27
1
Athumani Mshihiri :
🔥🔥🔥
2026-06-25 08:15:49
0
Catian vet services :
🔥🔥🔥🔥🔥
2026-06-29 18:54:23
1
To see more videos from user @mifugo_podcast, please go to the Tikwm
homepage.