@bongofive: Mbunge wa Kigoma Mjini Kigoma Mjini, Clyeton Chipando maarufu kwa jina la Babalevo amewaomba Bodaboda wasimuangushe baada ya kukubaliwa kusikilizwa changamoto zao na kufanyiwa kazi na Serikali, akigusia suala la kodi kwa Bodaboda liondolewe kwani ni kundi ambalo linapambana na maisha baada ya kukosa fursa mbalimbali.

Bongofive
Bongofive
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 24 June 2026 15:19:23 GMT
4364
176
2
2

Music

Download

Comments

user6193562305114
R.one the Great :
akili nyingine bungeni
2026-06-24 15:46:01
1
05future
Future code :
😂😂😂
2026-06-24 16:21:08
0
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About