@bongofive: Fagason ameajiri zaidi ya watu 600 Dar kupitia kiwanda chake cha nguo Mbunge wa Jimbo la Mbogwe, Fagason Aron Nkingwa, ambaye pia ni mfanyabiashara, wiki hii amefunguka kuhusu safari yake ya ujasiriamali. Hii ni siku chache baada ya kufanya mahojiano nasi na kutuonyesha familia yake yenye watoto 15, huku akieleza kuwa anatamani kufikia kuwa na watoto zaidi ya 20 ikiwa Mungu atamjalia.