@bongofive: “Sijaja hapa Bungeni kutafuta pesa” Fagason Mbunge wa Jimbo la Mbogwe, Fagason Aron Nkingwa, ambaye pia ni mfanyabiashara amefunguka kuhusu kauli ya CAG mstaafu Prof. Assad kwamba ni makosa makubwa kuruhu Wabunge wafanyabiashara kuwaruhu kuingia bungeni. Una maoni gani?