@pappyloy: Sehemu sita za kukaa kimya muda wote za muislamu. 1.Ukiona mtu anakutolea maneno mabaya 2. Ukijiona unasauti ya juu au kali 3. Kaa kimya kama hauna habari kamili 4. Kaa kimya katika hali ya hasira. 5. Kaa kimya kama maneno yako yanaweza kumuudhi mtu. 6. Kaa kimya kama unaona maneno yako yatauharibu urafiki