@victor_mwambene: Kama Upo Dodoma au Mikoa ya Jirani Karibu J’mosi hii kwenye Mafunzo ya Biashara na Uwekezaji katika Ukumbi wa Dodoma Hotel, Mimi Nitafundisha Uwekezaji Bora Tanzania, Uwekezaji katika Hisa, Hatifungani na Uwekezaji wa Vipande kama Utt Amis, Faida Fund na Inuka Fund. . Gharama ya Mafunzo kwa siku nzima ni 30,000 na VIP ni 50,000. Karibu wahi Nafasi kabla hazijajaa. . Kwa Mawasiliano zaidi Piga - 0756 281 556 . @moneytalk_tz . @level_upforum

CFE. Victor Mwambene
CFE. Victor Mwambene
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 25 June 2026 06:20:14 GMT
2004
178
4
2

Music

Download

Comments

seif_kingu
TygerHungary :
kwendeaaaaa
2026-06-25 17:35:31
0
dorahpassing2
dorahpassing :
sawa kaka
2026-06-25 15:56:45
0
sarahbunzali
flexible SarafinaTZ :
Reality 🫶
2026-06-25 16:13:29
0
wizkid_one
wizkid_one :
🥰🥰🥰
2026-06-25 17:27:30
0
To see more videos from user @victor_mwambene, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About