Dah! miaka ya 95,96 huu ukumbi ulivuma sana Mwenge,
2026-06-28 08:26:17
2
theresiankwande :
Duu shem wangu
2026-06-30 20:15:26
0
isabellakahindi :
Uncle Freddy 🥰🥰🥰🥰
2026-07-22 12:39:26
0
Jemima :
Dah! kitambo sana ilikuwa 🔥
2026-07-15 00:42:24
0
Sagumali :
kiambo sana
2026-06-26 18:11:47
0
MC_CHUMVI :
da napajuwa na fredy namkumbuka alikuwa rafiki wa baangu 🥰
2026-06-29 14:03:46
0
frankernest298 :
ameen
2026-06-27 01:25:31
0
user80838612808476 :
nilikuwa kuwepo hapo silent kipindi hicho dj pale rankim ramadhani nyamka dj fast Eddy
2026-06-25 19:11:40
0
Mshobozi :
rudi bukoba
2026-06-25 16:30:23
0
Mama lao :
Aiseeee kitambo sana sijui mke wake yupo jamani
2026-06-26 04:23:17
0
user23992294844161 :
Kitambo
2026-06-25 18:22:56
0
Robert Thadeo :
Mungu analipa hapa hapa duniani ulichokifanya kwa mmiliki wa silentini
2026-06-26 10:47:52
0
IMK :
muabudu mungu wako ktk ujana wako
2026-06-25 17:20:19
1
mama mkwe 07 :
Ameeen
2026-06-25 17:55:21
1
Mmwai Mdawa :
daladala shilingi mia
2026-06-25 19:07:47
0
tumaini lymo :
rwesira mzee wa kibinda nkoyi
2026-07-15 19:35:21
1
Ashiruna 002 :
Sio mchezo Enzi hizo wakina Andrew sekidia, Rais wa bendi Vyee Winey Zorandonga Askofu chura ,marivee na vijana wa kikongo acha kabisa🔥🔥🔥
2026-06-25 10:57:44
4
Jumanne Ally :
Silent in mzee alikuwa anatuma gari 10 bure UDSM kila jumamosi kuchukua wanachuo wakacheze disco bure tangu 1997
2026-06-26 06:06:22
2
Marina Ernest :
sisi wakongwe tunapajua
2026-06-27 07:05:11
1
andrewkihwelo459 :
namfaham kabisa na anacho sema ni kweli.lakini pia anaroho nzuri sana.YESU alianza kumtembelea pale tu alipo anza kukodisha ukumbi wake watu wafanye ibada na kumtukuza MUNGU na hiyo ndo safari yake ya wokovu ndo ilipo anzia
2026-06-26 08:58:44
0
Alpha Male Joe :
mzee rwegasira, wishing you a speedy recovery sir...sisi wahenga tunakukumbuka sana. 🔥🔥🔥
2026-06-26 12:22:46
1
Grace Lyimo :
🙏🙏🙏
2026-06-27 04:52:50
0
To see more videos from user @haji.malekwa, please go to the Tikwm
homepage.