@bongofive: Mbunge wa Kigoma Mjini, Baba Levo, amesema amevunjiwa heshima na kauli iliyotolewa na Meya wa Kinondoni, Songolo Mnyonge, kuhusu hoja aliyowasilisha Bungeni kwamba waendesha bodaboda waliosaidia CCM katika uchaguzi uliopita hawapaswi kuongezewa kodi.
Bongofive
Region: TZ
Thursday 25 June 2026 16:35:54 GMT
Music
Download
Comments
knows tz :
ila baba levo ni smart sanaa mungu ukubalik uwe ata wazili mkuu umenyooka sanaaaaa🔥🔥
2026-06-25 17:48:32
15
Dalali Mecky Tabata :
genius bba levo.
2026-06-25 20:30:10
1
maranya :
mungu ikikupendeza hata kwa badae mpitishe awe namba moja wa nchi
2026-06-25 17:45:05
6
GG TRENDS OUTFITS :
2026-06-25 18:16:02
2
ally nasso :
baba Levo akili nying
2026-06-25 18:04:32
5
samiramussa785 :
B levo Bar songa mbele
2026-06-25 17:27:09
6
sonara :
B levo mtu wa kazi nakukubali mwamba 💪💪
2026-06-25 21:19:03
0
Shytown :
2026-06-25 17:49:53
1
amos Michael :
baba Levo sikujuwa kama ulikuwa safiii sana
2026-06-25 21:05:03
0
super kings fashion :
kumbe ni wa 7
2026-06-25 17:37:03
1
Young Mill Mill NATIONAL MUSIC :
baba levo smart sana....
2026-06-25 16:53:56
1
JÉRÔME%%59 :
mmmm
2026-06-25 16:55:16
0
Allan Moko :
mzee nakuombea kwa mungu uwe Rais wa tz apo badae baba levo
2026-06-25 20:26:40
0
editha :
naelewa
2026-06-25 19:52:18
0
Mgeni Numbi :
baba levo mtu nanusu💪💪💪
2026-06-25 20:21:01
0
Emma%Boy% :
nakubal👍👍
2026-06-25 19:52:21
0
NGAKA DECOR :
baba levo akili nyingi
2026-06-25 18:09:39
6
wamlevimasaka :
tarifa
2026-06-25 18:50:25
0
Woka :
AKILI mingi
2026-06-25 20:41:41
0
Salva G Classic :
alafu mm ni mbunge
2026-06-25 18:47:18
0
chi tattoo :
MH ..smart sana 🫡
2026-06-25 18:58:20
0
super kings fashion :
nimekuwa wa 5
2026-06-25 17:36:40
0
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.