Hayo ni mawazo Yako,yes nayaheshimu. I am a living testimony, atakaeumia ataumia,Mimi nimesomesha watoto wangu wawili ambazo sikuwa na access nao kwa miaka 12,wamemaliza shule na sasa wapo kwangu Wala hawataki kusikia chochote kuhusu mama yao. Sijawasomesha ili wanisaidie,hapanaaa. Nimewasomesha ili wajisaidie katika maisha yao. I am a proud Dad!
2026-06-28 16:22:58
5
Evodia Westoni Chambulikazi :
Video nzima ipo youtube
2026-06-25 16:49:41
6
Zelda Bukama :
Tokaapa
2026-06-25 18:47:06
2
شمهروش ملك من ملوك الجن :
mimi siwezi owa mwanamke mwenye mtot hatakam huyo mtot ni wangu
2026-06-27 04:08:32
1
georgejonas#mr tinga# :
Tumepata msemaji!, ahsante sana wew ni mama yangu kabisaa!...
2026-06-26 12:37:56
6
@Pendova🎀🦋 :
aache2 mbn maisha yanaendelea
2026-06-26 08:30:05
0
Joseph Zaharani :
kweli dada mm yamenikuta sana
2026-06-28 12:33:53
2
lubabasha :
umesema maneno mazito dada
2026-06-27 04:55:48
3
phone case :
Asante sana hiyo nikwel nimeshuhudia
2026-06-26 06:52:13
5
dani :
Mungu akubariki sana dada yangu
2026-06-26 06:33:11
3
onorina :
asante.mama
2026-06-26 04:12:59
1
ELON PROFILE :
👍👍👍👍dada Mungu akupe maishamakefu
2026-06-26 11:18:25
2
mashayo samwel :
ukwel kabisa
2026-06-26 22:55:21
1
ROJA AUT SPEAR CAR :
asante kwa ushauli
2026-06-27 06:46:44
1
mwaduda🥰❤️❤️❤️ :
nikwambie ukweli umeniudhi mwanamuke mwenzangu🙏
2026-06-30 16:37:18
1
iddimulunga2 :
😎😎😎😎 safi sana bint naunga mkono hoja yako tupo pamoja
2026-06-30 04:25:10
1
me :
mimi niliacha muda mrefu sana baada ya kuona nanyimwa kuwa karibu na mwanangu
2026-06-29 05:45:46
6
user2694078191331 :
hayo yapo dada uko mbele ya mda nakubali
2026-06-27 08:39:50
3
malima jamuhuri :
nikweli kabisa dadaagu unachokisema niukweli Asante kwaushauri wako kuanzialeo sihudumiitena mungu akubaliki🙏🙏
2026-06-26 00:19:04
3
K pizzo kp :
Shikamoo dada
2026-06-26 03:06:50
2
Rich man's collection kongowea :
na hapo umeongea
2026-06-26 04:31:49
2
Mogack Junior :
Ukweli ndio huo dada
2026-06-28 05:53:31
1
chollo_young1 :
NAKUELEWA SANA NDO NAYOPITIA MIMI HAYO
2026-06-25 18:07:00
3
To see more videos from user @evodiachambulikazi, please go to the Tikwm
homepage.