Yani mi nashangaa kila kitu shida Yani kwahiyo tufanye nini sasa
2026-06-30 11:03:20
1
johanesstephano97 :
nice
2026-06-26 10:34:48
2
babuu :
genious dr
2026-07-09 13:01:38
0
mbalawasi :
Ronnie coleman
2026-06-28 05:52:44
1
Dunia_mahando :
Mnatuchanganya bana
2026-07-20 08:24:59
0
Cool Guy_88 :
Dr! Tafadhali nieleweshe hiki kitendawili: Kuna tofauti gani physically na biologically kati ya mazoezi ya kutembea zaidi ya steps 5k per day Ila mara 3-4 kwa wiki na yule anaefanya jogging kwa ratiba ileile katika uchomaji wa mafuta na lehemu ndani ya mwili, kupata kifua cha pumzi / mfumo mzuri wa respiration, kupunguza unene, in general health inshort. Please, help me kuelewa hiki kitendawili.
2026-07-18 10:24:34
0
Elias Jr 🇹🇿✊ :
2026-06-27 03:40:24
1
mr writer🤒 :
yeah
2026-06-26 10:27:17
1
Clear :
Doctor 🥰
2026-06-26 13:11:09
1
Albanian mafia :
David Goggins is typing......
2026-06-26 18:06:33
2
Ngonifaceless channel :
nilipanga kwenda GYM nimegairi bora niwe natembea tu, maana wiki iliyopita nimefanyishwa mazoezi kuinua vyuma vya kilo 2 hmara 750 yaani kila zoezi mara 250 kichwa kimeniuma sana hadi misuri ya kichwa imevimba ,wiki nzima nimetumwa sina hamu bora umeongea
2026-06-27 15:52:31
2
msanjala finnest :
aiseee nimepiga push ups juzi na jana now nahc kichomi upande wa moyo kote nahc kichomi yan hovyo😭😭
2026-06-26 11:42:45
2
mbalilax :
Mazoezi hayasababishi hypertrophic cardiomyopathy. HCM ni ugonjwa wa kurithi, hivyo wanamichezo wengi wanaopata mshtuko wa moyo huwa tayari walikuwa nao. Ndiyo maana uchunguzi wa moyo kabla ya kushiriki michezo ni muhimu. Mazoezi ni salama kwa wenye moyo mzima, lakini yanaweza kuwa hatari kwa wenye HCM. thickening of heart muscles after being athlete for a long time ni normal adaptation na haiwezi kukupa heart attack
2026-07-05 19:57:17
3
ابوو مجهدىن :
mnatuchanganya bwana
2026-06-26 17:28:58
1
Oezil11 :
TOO MUCH IZ HARMFUL
2026-06-26 20:54:00
2
Saimon Masuke :
ivi madaktari hamuwezi kumaliza mazungumzo bila kuongea kiingereza 🤔
2026-06-29 08:49:18
1
Boniface Mwamba :
kwahiyo nini tufanye au tuzingatie kwenye kufanya mazoezi dokta
2026-06-26 11:40:47
1
KENEDY AYO :
Too much of something is harmful siku zote kila kitu kinatakiwa kuna na kiasi
2026-06-26 22:08:09
2
barackabwill1 :
kaka kingeleza kingi vingine hatukuelewi 🧐
2026-06-26 11:36:09
4
To see more videos from user @dr.issambashu, please go to the Tikwm
homepage.