nilipanga kwenda GYM nimegairi bora niwe natembea tu, maana wiki iliyopita nimefanyishwa mazoezi kuinua vyuma vya kilo 2 hmara 750 yaani kila zoezi mara 250 kichwa kimeniuma sana hadi misuri ya kichwa imevimba ,wiki nzima nimetumwa sina hamu bora umeongea
2026-06-27 15:52:31
0
msanjala finnest :
aiseee nimepiga push ups juzi na jana now nahc kichomi upande wa moyo kote nahc kichomi yan hovyo😭😭
2026-06-26 11:42:45
0
ابوو مجهدىن :
mnatuchanganya bwana
2026-06-26 17:28:58
0
Oezil11 :
TOO MUCH IZ HARMFUL
2026-06-26 20:54:00
1
Boniface Mwamba :
kwahiyo nini tufanye au tuzingatie kwenye kufanya mazoezi dokta
2026-06-26 11:40:47
0
barackabwill1 :
kaka kingeleza kingi vingine hatukuelewi 🧐
2026-06-26 11:36:09
2
simonmkemwa675 :
wew uko wapi na hospital yko iko wapi tuje kupima mi nakukubal sana
2026-06-26 12:28:19
1
TOP G :
bro anamuongelea Eriksen
2026-06-26 11:31:28
0
KENEDY AYO :
Too much of something is harmful siku zote kila kitu kinatakiwa kuna na kiasi