200k yote wuuuueeee I can't judge but Heri mtu akucheat than kukutoka pesa in the name of love anyway ishatendeka Ni ngumu lakini accept heal and move on posting kila siku sio suluhisho yeye Yuko happy moving on with life so be strong as long as hajakupea mimba hajakukata mikono wala miguu hajakupa ugonjwa wowote then sioni reason ya kuzidi kulia fanya Kazi Rudisha pesa yako we learn from mistakes so tafuta pesa na usirudie the same mistake pole stranger 🫂🫂🫂
2026-06-28 05:22:22
2
KACHE LUCY :
pole ila acha nijipe congratulations mm mwenyewe kwa ugumu nlionao mm
2026-06-27 21:56:18
5
Rosedunda :
Pole sana daa najua waumia sana pengnepo haikua riziki yako achia mungu yote na uache kupost siri zako juu wajidalilisha na wengi watakuvunja moyo kama ni jasho lako mungu apanguse machozi yako❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏
2026-06-26 20:59:04
11
tinaa :
nyie mnao comment eti mungu Asante kwa huu ugumu..ata nynyi ipo siku yenu 🙏...
2026-06-27 23:48:14
4
mwanaiki Ally💞 :
Mm nami siwezi peana pesa hata kaka na Dada hata 50 pesa ya saudia hawapati
2026-06-28 17:41:01
1
mum clarah🥰 :
afadhali heartbreak pekee lkn pesa ju aaaaah pole dadangu😭😭😭😭i can feel your pain
2026-06-27 08:31:24
1
Monica Umazi Mjera :
pole na hongera mwaya maana mm ata ata akiitisha 100 hio block nitampea hataamini mapenzi na pesa ni vitu viwili tofauti mwaya hope umepata funzo ...be strong and move on
2026-07-01 03:47:58
0
Aisha saumu :
jikaze mamaa
2026-06-27 00:28:31
0
ABIGAEL MTANU ❤️ :
Kama ujawaipitia hii khali uwezi muelewa huyu dada kabisa Usijali dear utakuwa sawa Amini mungu
2026-06-29 11:32:37
0
LUCIANA GILBERT ❤️ :
vitu kma ivi si vyakupost aibu kma hizi dadangu Lilia mungu wako TU na atamuadhibu vipasavyo,aki ata mm nahis vibaya sana🥲🥲
2026-06-27 04:40:59
11
mama mohamed :
hapa h7tapata jibu isipokua utazid8shiwa maumivu.ww amka usiku umpigie mungu magoti siku ni 3 utaona lile mungu atakitendea dear.hayo machozi unamwaga hapa yamwage kwa kulilia mungu
2026-06-28 06:38:01
1
jos :
mungu Asante kwa huu ugumu wangu kma mawe,,Yan naitwa Sina Kila siku😅
2026-06-27 20:18:38
1
Humble lady 🥰🥰🤲 :
mm yalinifika aky inauma.... imagine nilikonda hadi moyo wangu ukawa uchungu kma kidonda, bt I thank God Hawa mapastor wa tiktok walinisaidia sana..... Apostle Levi's 001...mungu akueke🙏🙏🙏🙏
2026-06-28 05:26:09
1
missdee😍 :
pole Sana lakini kupanga maisha na mwanaume mumepatana gulf adi inafikia kumpa kiwango kikubwa cha pesa.Mungu niepushie na Roho hio 🥹
2026-06-27 18:24:36
2
Lilian sidi :
muachie mungu
2026-06-27 03:08:16
1
Jano Jelie :
i don't trust anyone with my money even my shadow🥺🥺
2026-06-27 16:27:16
1
Mrs 🍓🥰 :
Be strong dear jasho la MTU haliliki mungu atakulipia n upande mwengine simama Kwa maombi tu
2026-06-27 07:50:02
2
elizabethkombe70 :
waaah pole sana dadagu jitie nguvu,kuanguka sio mwisho wa maisha Bali ndo mwanzo mpya wamaisha mazuri, malipo ni hapa duniani mbinguni ni hesabu,it will be well with you sister ilove you more🥰🥰🥰.
2026-06-27 08:55:42
1
mama beka :
jikaze chidada changu hebu muache mungu kama ni jasho yako atakulipia🙏🙏🙏😭😭