@tanzaniansvoice: Mnyika alipotolewa nje ya ukumbi wa bunge, wakati huo spika wa bunge la jamuhuri ya uungano wa Tanzania akiwa Job Ndugai, ambaye kwa sasa ni Marehemu. Nini unakikumbuka enzi za bunge hili?
Tanzanian's voice
Region: TZ
Saturday 27 June 2026 04:15:07 GMT
Music
Download
Comments
Mwakisyala🇹🇿🇺🇲 :
ila uy anaongea fact kwa ccm sijui anaitw nan na yupo wapi
2026-06-28 16:28:32
4
Ree_Brand_Tz🇹🇿 :
Njaaa hyo
2026-06-27 06:04:47
8
Nissan46 :
who is this guy who are you by the way?
2026-06-28 12:50:30
1
Tinno, the Great :
Sahivi kamedanja
2026-06-29 11:38:56
0
wonder :
ila jamani mnaelimu ya maana ya upinzani lkn
2026-06-28 07:19:21
0
maiko msigwa :
point
2026-06-27 17:31:17
0
johari :
jamani
2026-06-27 09:12:29
1
anchwi chwi :
sio makn
2026-06-27 22:00:00
1
Nissan46 :
kwaiyo raisi hakosei?
2026-06-28 12:47:11
3
Kemmy Rwechungula Francis :
Ni kweli kabisa, sasa hv vijijini Kuna maendeleo makubwa kwa sbb ya umeme.
Ila umeme Kuna maeneo haujafika mpaka masambaza umeme umpe bakshihi.
2026-06-27 05:50:18
5
philosopher :
acha uchawa
2026-06-27 11:19:52
7
Jay ton🎧 🇹🇿 :
naji vunia kua
ccm,wasomi tu nao,🇹🇿🙏
2026-06-27 20:10:31
2
Vanich :
kwa hoja hiyo rais ni MUNGU inatosha.
2026-06-27 11:13:27
4
77 :
kumbe Hawa mbususu kukataa katiba mpya ni kama menu Yao ya kula daah hiii so sad aiseee
2026-06-27 12:28:27
3
Mussa Boazi :
uchawa
2026-06-27 18:00:12
1
Ority Bashiru :
tarehe saana mukakimbiage
2026-06-28 06:37:23
0
leonardmasini129 :
mibunge ya ccm michawa
2026-06-28 09:42:33
0
Mwakamisa :
sema mwenda zake alikuwa ni short tempered sana!
2026-06-28 13:23:16
0
NYAMALO COMPANY LTD :
umeme ndo maendelee wakt dakik tano unakt
2026-06-29 04:18:17
0
mbogo :
kwani rais ni MUNGU mpaka asikosee na akikosea asisemwe?
2026-06-29 09:15:02
0
isayabaraka488 :
kuna utii na utisho ata maraika anasemwa
2026-06-29 12:41:46
0
To see more videos from user @tanzaniansvoice, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.