@doubletwentyfour24: #creatorsearchinsights #tiktoktips #double24 #double24updates

Double 24
Double 24
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 27 June 2026 17:47:54 GMT
569650
52301
388
6208

Music

Download

Comments

kingsxlsentinel
KINGS 👑~Karim 👑🦅 :
lla illaha ila Allah x 17 allahuma swali Allaa Muhammad Yarabi swali aleih wa swalim x 17 hasbuna llahu wa Neima-all waqil x 17 au nimekosea apo apo ???
2026-06-28 03:55:33
354
rukia.abdallah46
Rukia Abdallah :
mungu yupo jmn kuna siku nilikuwa sina sh kumi na niko na shida nilisachi mapochi yote bs nikaanza kuomba dua huku namlilia mungu nikarudi kwenye pochi moja nikasema ngoja niangalie tena lbda ntakuta pesa kidogo jmn kwenda kusearch tena nimekuta elfu 20 mpyaaa nyie nyie
2026-06-27 23:48:56
245
kambaa_01
kambaa :
kwa mafundisho ya bwana mtume wetu amesema adhana ikiwa inaadhiniwa bas ni vema kurudia maneno anayo sema muadhini ispokua wakat wa haiyya alal swala na haiya alal falaa bas apo utasema lahaula walakuwwata illa billah. na so kusema maneno mengine yoyote anae toa rizki ni Allah na yeye ndo anajua lin na wap utapatia rizki zako
2026-07-21 21:12:43
25
shamimshee
shamimshee :
sasa tujibu adhana ama yufanyeje?
2026-06-28 02:39:38
54
mbugaboytz
Rama Mtanzania 🤴🌍 :
Lā ilāha illā Allāh ×17 Allāhumma ṣalli 'alā Muḥammad wa sallim ×17 Ḥasbunallāhu wa ni'mal-wakīl ×17 Kwa Kiswahili: Hakuna mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah. Ewe Allah, mrehemu na mpe amani Mtume Muhammad. Allah anatutosha, naye ni Mlinzi bora kabisa.
2026-06-28 07:09:53
191
user7162074816081
user rahma :
wallah wabillah hii ninaushahidi asilimia mia na hili jambo nililifanya na likafanikiwa
2026-06-27 20:43:08
64
jumahamisi625
KUFUJA :
katika hadith sahihi ni kurudia anavyo adhini mwadhi na akisema haya ala swala/falah unasema la haula wala kuwata ila billah
2026-06-27 18:58:57
52
dr.engineer1
Dr.Engineer :
Huyu jisheee ni jiongo sana
2026-06-28 10:09:03
13
maahiri_mtwara
MAAHIR NAMKOPA :
Soma huu uradi 1: Laa ilaha illallwahu ×17 2: Allwahumma swali alaa muhammadi yarabi swali alayhi wasallim ×17 3: Hasbiyallwahu waniimal wakiil ×17 Ahsanteni
2026-07-02 08:36:02
25
mpouja
MPOUJA_SENIOUR :
Inshallah nikuowa. Niende makha na mke wangu.❤️🫂
2026-06-28 09:31:37
14
neemamulwa1
Neema Malkia :
Asalamu aleikum warahmatullahi wabarakatu. Alhamdulillah, ata mimi nina ushahidi Wallahi
2026-06-28 04:13:49
11
neem.deus
Neem Deus :
yeye kasema kaziyetu nikumuamini tu Mungu anatenda
2026-06-29 13:45:00
12
mrss339
mrs s :
shekhe ivo tusiijibu adhana naomba elimu apo samahan 🙏🙏
2026-06-29 07:23:04
23
mismerizer001
nurdin :
adhana ikiadhiniwa itikikia adhana wacha mambo mengine
2026-07-04 02:51:34
7
user7035851838335
smart boy 06 :
wakati mwingine ugumu wa rizki ni kipimo cha imani kwako mchamungu shukuru pia
2026-06-28 14:14:36
12
hajjimohamad7
zanzibar Tours :
asalam alaikum, azana inapoaziniwa unatakiwa uitikie azana
2026-06-29 12:30:07
12
khamoa4
khamoa4 :
Nimekuja kutow ushahid tuu apa wallah billah ni kwel kabisa 🥹nimejaribu na nimepata mm🥰Alhmdullah,Allah karym 💯
2026-07-01 13:02:43
15
kherrysound
Kherry sound :
Hii haichelewiii nashuhudia maajabu ya Allah
2026-06-28 06:25:52
21
hashim.mohamed.6
@Hashim Mohamed #6 :
Ni adhkr gani hiyo hapo mwanzo haujasema
2026-06-28 06:28:52
10
mamaangel_4
mama angel :
Adhana ya saa ngapi sheikh 🙏🙏
2026-06-28 05:36:02
11
asiaajali357
mom. fei :
mashekhe wetu Allah awahifadhi 🙏🏼🥰
2026-06-28 04:19:34
8
mattar.kassim7
Mattar Kassim :
laillahailla×17 allahumaswal ghala muhammad×17 hasbillah waniimall-wakill×17
2026-06-29 12:30:19
10
mpajiramadhani788
twentty7@# kipaji :
ikawe her hata kwangu
2026-07-19 19:19:03
1
yuu.mrembo
baby girl ❤❤ :
kama huna kazi utapataje hela
2026-07-06 20:20:06
0
user6192196092982
BIN ALI HAMISI :
Tumefudishwa kusema nn adhana inapo adhiniwa,,,husituchanganye
2026-07-14 16:46:20
1
To see more videos from user @doubletwentyfour24, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About