katika hadith sahihi ni kurudia anavyo adhini mwadhi na akisema haya ala swala/falah unasema la haula wala kuwata ila billah
2026-06-27 18:58:57
8
dream girl❤️ :
mashaallah
2026-06-27 18:18:34
2
user rahma :
wallah wabillah hii ninaushahidi asilimia mia na hili jambo nililifanya na likafanikiwa
2026-06-27 20:43:08
1
mwachinyozi :
sija elewa apo mwanzo
2026-06-27 20:13:01
0
sadiki :
🙏🙏 Ameen 🙏🙏
2026-06-27 19:49:54
0
Rukia Abdallah :
mungu yupo jmn kuna siku nilikuwa sina sh kumi na niko na shida nilisachi mapochi yote bs nikaanza kuomba dua huku namlilia mungu nikarudi kwenye pochi moja nikasema ngoja niangalie tena lbda ntakuta pesa kidogo jmn kwenda kusearch tena nimekuta elfu 20 mpyaaa nyie nyie