@saut.digital: Makamu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Padri Prof. Juvenalis AsanteMungu, amewataka wanafunzi na vijana nchini kuchangamkia matumizi ya teknolojia ya kisasa ili kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya utalii. Ametoa kauli hiyo katika Tamasha la Utalii la SAUT 2026 mkoani Mwanza, ambapo amesisitiza mkakati wa chuo hicho kuendelea kuwajengea uwezo wanafunzi kutumia zana za kiteknolojia katika sekta ya utalii nchini #SAUTDIGITAL #sautrending #radiosautfm #sautdigitalupdates #sautdigitalhabari

SAUT DIGITAL
SAUT DIGITAL
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 27 June 2026 18:17:31 GMT
340
16
0
3

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @saut.digital, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About