fundi foundation ya vyumba 3 master zotee beigani?
2026-07-23 13:06:06
0
Sayyd Barry :
Je fensi ya Square Meter 715 inaingia nyumba ngap za vyumba vitatu...?
Au je vyumba vinne nyumba 1 na nyumba ya vyumba viwili inaingia...?
2026-07-18 07:09:54
0
kimosa :
hii 70*60 ni mita au futi?
2026-07-23 06:03:02
0
kIPOLISI :
sijui jiwe la wap lkn km n znz sio kweli
2026-07-02 12:14:12
1
@Single boy sley🇹🇿🇶🇦 :
mm kiwanja changu kina ukubwa wa feet 82 urefu upana feet 60 nataka nijenge ramani ya kisasa je fondeshen itagarimu bei gani Kwa ramani ya vyumba 4 vitatu master
2026-07-22 13:20:46
0
MR POLITE :
next
2026-07-08 17:36:51
1
Sleiyoum 🌹199 :
A.alaykum fundi kiwacha changu kidogo kina ukubwa wa 28 kwa 38 tunaweza kupata ramni gani..kipo jumbi
2026-07-19 07:14:34
0
Radhia :
Fundi issa harama zake zote inakuwa kiasi gani cha kwang 90 kwa 60
2026-07-21 18:43:30
0
SAFFRON :
Inafika milioni 8 mpaka 10
2026-06-28 18:22:36
1
khamis :
pamoja sana kaka
2026-07-19 09:40:19
0
selerich :
pesa ya ufundi je inakuwa bei gani
2026-07-15 17:45:20
0
Omari 4567 :
asalamuwalaikumu fundi isa kiwanja shangu 60 kwa 50 ninapata fensi na nyumba ndani
2026-06-29 05:21:39
1
Abubakar Hassan6835 :
jee 60 kwa 60
2026-06-29 07:16:34
1
mananah :
ft 50 kwa 50 je
2026-07-07 10:53:31
0
mram :
nakubali fund 👍
2026-07-01 13:05:49
1
saida mamy :
fundi issa kiwanja futi 50 kwa 40 napata vyumba vingapi
2026-06-28 14:56:05
2
faki :
sio kwel wewe
2026-07-06 03:43:35
1
ZanFacts :
je mita 40 kwa 20 itangharimu vp fensi
2026-06-29 11:06:26
1
Amarelo :
Fund Issa fence coz tano kiwanja ni ft 80 kwa 70 gharama zake
2026-06-28 19:26:27
2
Pink panther :
Itakuwa vzur kama ukitaja tasmin ya cost ya bei kwa ujumla
2026-06-28 18:12:04
2
abdillah alliy :
fundi mbona mimi hujanijibu fondesheni ya 60 kwa 40 pia huchimbi chini kuna mawe je unaweza kugarimu bei gani
2026-06-28 19:55:16
1
Bro iqbal :
fiti 85 kwa 85 je
2026-07-06 17:26:29
0
SalumRashid0923 :
ufundi jee inakuwa bei gani
2026-06-30 10:46:11
0
To see more videos from user @fundi_issa, please go to the Tikwm
homepage.