@abdrash_: "Sehemu za tuhuma" ni nini?* Ni mahali, matendo, au maneno ambayo yakionekana kutoka mbali, yanaweza kuelezwa vibaya hata kama nia yako ni safi. - Imam Nawawi alisema: "Yule mwenye akili anajiepusha na hata kile kinachofanana na haramu, ili asishukiwe na watu na asijishukiwe mbele ya Mola". - Ndugu yangu, kumjenga mtu sio kujitetea baada ya tuhuma. Ni kutojitia kwenye mtego wa tuhuma tangu mwanzo.

Abdrash
Abdrash
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 28 June 2026 16:25:07 GMT
3463
458
2
8

Music

Download

Comments

ramamyrgouf
rama :
s w a
2026-06-28 17:47:42
0
saidi.likoko8
Saidi Likoko :
mashallah🙏🙏🙏
2026-06-28 17:43:56
0
To see more videos from user @abdrash_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About