@drchiwilejr: Leo nilipata mualiko wa kua Mgeni Rasmi kwenye mashindano ya Mazingira Cup yanayo fanyika kwenye wilaya ya Magharib “A” ambayo yanashirikisha timu 20 kutoka kwenye wilaya hiyo, Binafsi niwapongeze waandaaji wa mashindano hayo yenye lengo la kuikumbusha jamii juu ya utunzaji wa mazingira na kulinda amani ya nchi yetu