Mtume Muhammad (ﷺ) alisema:
"Ninawaachieni vitu viwili vyenye uzito. Mkishikamana navyo, hamtapotea kamwe baada yangu: Kitabu cha Mwenyezi Mungu (Qur'an) na Ahlul Bayt wangu. Navyo havitatengana mpaka vinifikie kwenye Hodhi (Kawthar)."
Rejea za Kisunni:
Sahih Muslim – Kitabu cha Fadhila za Maswahaba, Hadithi ya Zayd ibn Arqam (Hadith 2408 katika baadhi ya namba).
Jami' al-Tirmidhi – Hadithi Na. 3786.
Musnad Ahmad – Musnad ya Zayd ibn Arqam (imepokewa kwa njia mbalimbali).
Al-Mustadrak ala al-Sahihayn – Juzuu ya 3, uk. 109–110 (katika baadhi ya machapisho), ambapo Al-Hakim al-Naysaburi amesema isnadi yake ni sahihi kwa masharti ya Muslim ibn al-Hajjaj.
2026-06-29 17:52:20
5
mahmoud :
mashallah
2026-06-29 13:55:11
3
AFRISKY DRONE SERVICES :
may Allah grant you more years
2026-06-29 17:40:49
6
Abu Muntadhwar :
Mashekhe wakubwa hawaijui hii Hadithi wafanya ushindani.shekhe nimeshkuru sana
2026-06-29 17:52:41
4
Aunty sweety :
MashaAllah
2026-06-29 07:42:20
4
swalehsasaru :
swadaqta
2026-06-29 12:22:51
3
صراط الله على :
washatupoteza sana wake hatuwaskilizi tena ,wametudanganya sana na wanetuficha vitu vingi
2026-06-30 07:16:46
0
Alhabeeb Noor :
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد و على آله وصحبه اجمعين 💖💖💖💖💖
2026-06-29 17:01:12
1
Raeight Liston :
rasulullah anasema utamjua mumin kwakumpenda ali na utamjua mnafik kwa kumchukia ali
2026-06-29 18:39:34
1
Mahat Somane :
اللهم صلى على محمد وآل محمد وعجل فرجهم
2026-06-29 15:02:55
1
🏝SWALEH~ALHABSHY^°0•0•5🏝 :
ALLAH AWAPE NGUVU NA TAQWA NA ISTIQAM AHLU BEYT RASULU LLAH
2026-06-30 06:13:48
0
Nuurya :
maashaallah maashaallah tabaarakallah sheikh mungu akulipe jannatul Firdausi 🤲🤲
2026-06-29 18:01:39
0
Saidi SaidOGETTA1999 :
shukran
2026-06-29 20:15:11
0
Tamula shoe⚓️ :
Barakallah
2026-06-29 19:08:24
0
kalusha :
Masha Allah
2026-06-29 19:06:07
0
Scrat mlonia :
الله
2026-06-29 15:53:18
0
Mapembe :
shehe umetafuta vita na maadui wa mtume.
2026-06-29 14:42:27
6
Äli :
Mtume Muhammad (ﷺ) amesema:
"Hakika mfano wa Ahlul Bayt wangu ni kama Safina ya Nabii Nuh. Atakayeipanda ataokoka, na atakayeiacha atazama (au ataangamia)."
Rejea kutoka vitabu vya Kisunni
Musnad Ahmad ibn Hanbal – Musnad Ahmad, Hadith 11130 (katika baadhi ya nakala, nambari inaweza kutofautiana).
al-Mustadrak ala al-Sahihayn, Juz. 2, uk. 343. Al-Hakim amesema: "Hadithi hii ni sahihi kwa mujibu wa masharti ya Muslim," na Al-Dhahabi ameafikiana naye.
al-Mu'jam al-Kabir cha Al-Tabarani.
Majma' al-Zawa'id cha Nur al-Din al-Haythami, ambapo amesema wapokezi wake ni wa kuaminika.
2026-06-29 18:24:27
3
💕Delam💞 :
yaani mtihani sanaa
2026-06-29 17:12:40
2
Khalidi Lonka :
pigia mstari neno kizazi changu.
Imam Ali, Imam Hasan. Imam Husein, Bi Fatuma alayha salamu.
2026-06-29 15:47:23
2
💕Delam💞 :
waambie sheikh
2026-06-29 17:14:38
1
Wa hareh Mumba :
ntafte please
2026-06-29 17:21:47
0
khalfani Kisuna :
wanajulikana sana tunawajua sana na vikanzu vyao vifupi
2026-06-29 17:23:17
1
khuzeir 39,500 :
mawahabi hawo nani karibu wote
2026-06-29 14:02:26
1
To see more videos from user @alihsaantv, please go to the Tikwm
homepage.