@kulwa2712: faida za mayai kwa mama mjazito 1. Husaidia ukuaji wa ubongo wa mtoto. 2. Hujenga na kurekebisha tishu za mwili. 3. Husaidia kuimarisha mifupa na meno. 4. Hupunguza hatari ya upungufu wa damu. 5. Hutoa nguvu na kusaidia kushiba kwa muda mrefu. #afyauzaziclinic#viral#usa🇺🇸#tiktok#videoreels