@muadhieljuneyd: Wengine wanakuvunja moyo, wanakuumiza kimya kimya, halafu mwisho wanashangaa kwa nini umebadilika. Wanataka uvumilie maumivu waliyokupa, lakini wanasahau kuwa hata moyo wenye subira unaweza kuchoka. tuendelee kuwa wavumilivu, lakini pia tujue wakati wa kujilinda.