@jukwaahuru: "Waziri Katambi amesimama ndani ya Bunge, ametoa maelekezo kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP kwamba asitishe vibali, kuna vitu viwili hapo ambavyo watu waelewe, watu wanapaswa kuelewa mamlaka ya Waziri juu ya IGP na mamlaka ya Jeshi la Polisi kuhusu mikutano ya hadhara." "Mtu pekee kwenye nchi hii kwa mujibu wa Katiba ibara ya 33(1) anayeweza kuyaamrisha majeshi kulingana na Katiba ni Rais wa Nchi. Majeshi yanawajibikwa kwa Rais kuhusu amri za utekelezaji wa majukumu yao mbalimbali sasa Kama katiba inasema hivyo moja kwa moja unaona Katambi (Waziri wa mambo ya ndani) alikuwa anazungumza kitu ambacho hakijui na bahati mbaya kitu alichokiongea kinabaki kwenye kumbukumbu za bunge kwamba Waziri amempa amri IGP." "Katambi alikosea na kama anasema alikuwa sahihi atupe kifungu cha Katiba ama sheria iliyompa mamlaka ya kumuamrisha ama kumuagiza IGP. Hakuna pia sheria ambayo imelipa mamlaka Jeshi la polisi kutoa vibali vya mikutano ya hadhara kwa Vyama vya siasa."- Wakili Peter Madeleka, akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Juni 29, 2026 #viralchallenge #viralreelschallenge #viralreels

Jukwaa Huru
Jukwaa Huru
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 29 June 2026 11:38:39 GMT
157815
7197
195
252

Music

Download

Comments

hajurikani
K. T. W :
makofi kwa kaka🙏🙏🙏
2026-06-29 15:12:32
138
mr.creator950
mr creator :
safi msomiiiiii
2026-06-29 15:42:28
57
kulwanyakabaka
Kulwa Nyakabaka :
xaf sana
2026-06-29 13:44:07
25
wamburamichael95
Wambura Michael :
MAKOFIII.
2026-06-29 14:21:00
38
greysonregasira
greysonregasira :
one of the best lawyers in Tanzania
2026-06-29 19:28:55
18
edward.jimmy58
edward Jimmy :
nakubali kwa nondo unazo toa Mungu akulinde
2026-06-29 17:44:33
39
wilfredsingundajr
wilfredsingundajr :
Umetisha mtaalam
2026-06-29 14:00:24
31
davsonydenis
davsonydenis :
hii nchi Ina majambazi
2026-06-29 16:17:46
32
mpeka_jr
MPEKA JR♥️ :
OMARI MAITA alishaeleza pia😀😀🙌🙌
2026-06-29 18:12:37
18
user6107165657153
Christian :
makofi mengi tafazali 👏👏
2026-06-29 20:18:00
10
elia.bahati8
Elia Bahati :
fadha nakukubal sana
2026-06-29 15:14:50
12
jacksonhakimu
j@y 4⃣ 5 :
nakubali kaka mkubwa msomi
2026-06-29 19:24:03
8
ibraimuibraimu
nguzo comedian :
gd job
2026-06-29 14:24:25
7
doctorb71
doctor*b :
7/7
2026-06-29 15:02:16
5
silasluyagaza
Mr luyagaza :
Asante
2026-06-29 15:07:49
12
mwajumamarwa681
Mwajuma Marwa :
uko sawa
2026-06-29 13:46:29
10
mussa.erasto4
Mussa Erasto :
eeeee
2026-06-29 13:10:20
8
aishahabs01
Aisha Habs :
safi sn kaka
2026-06-29 16:03:01
8
robson22368
Robson :
makofi Kwa brother
2026-06-29 14:54:28
8
user4694971199906
user4694971199906 :
😆saf sana msomi
2026-06-29 16:26:36
7
user4260008382319
joyse matembo :
Nakukubali mweshimiwa
2026-06-29 14:12:32
7
mr_luuh.tz
SYED ABDULWAHABI :
Reaching the extent Rais aje kuingilia kazi ndani ya Wizara, basi happ Waziri atakuwa hatoshi. Sikosei Taaluma yake but Frankly speaking ni kwamba Modernity inakuwa applied kwenye leadership sio tu kustick na old laws, am not trying kusema kuwa uko outdated but hizo ni modern governments. Umetumia nguvu kubwa kusoma Uwakili but life changes, adapt to the new systems! Nashkuru, ila maelekezo ni Sahihi, na vibali vipo hata kama sio katika context yenu ya Sheria, in real and field Practical sisi tunatumia na vibali vipo. Ahsante, ✅️🇹🇿🐐GendaHeka!
2026-06-30 06:12:32
0
p3lom
pj :
uyu nani kwani
2026-06-29 16:33:37
3
alpharashy23
wizz khalifa :
jeshi ni moja tu
2026-06-30 09:47:59
0
abdallahchembo2
abdallahchembo :
2026-06-30 08:24:32
1
To see more videos from user @jukwaahuru, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About