@booba1607: 😂😂😂😂😂😂

Booba sanoussy
Booba sanoussy
Open In TikTok:
Region: FR
Monday 29 June 2026 12:14:57 GMT
39675
2492
95
551

Music

Download

Comments

mamch3112
TOUBA KA 🇨🇭🇬🇳🇫🇷 :
😂😂 c'est quoi mgama??
2026-08-02 14:38:14
0
mariamasaba
Mme saba mariama :
Awa abarabalan la sœur TADY à fini de parler 😂😂😂😂
2026-07-20 11:18:06
1
amadoucamarade
Amadou l'italien 🇬🇳 🇮🇹 :
😂😂😂😂
2026-07-25 11:21:49
0
ahmedsekoudiop
Ahmed sékou :
logique
2026-07-28 22:35:12
0
binta..diallo81
@Binta. diallo81 :
HÉEEEEEE adéeeee😂😂😂😂
2026-07-22 12:15:34
0
fatoumata16559
Aïssa BB :
2026-07-07 13:56:40
0
tandjigoramoussa3
MANSA MOUSSA LE DG :
vraiment merci vielle mère
2026-07-26 13:41:03
0
wazaboy61
wazaboy officiel🌙 :
😂😂😂 Vous etes trop fort
2026-07-19 22:00:13
0
user217794751723
user217794751723 :
vraiment mn frère
2026-07-08 08:42:21
0
ibrahimasorysamou
IBRAHIMA SORY Samoura :
vraiment bien dit ma sœur chérie j'ai cocher
2026-07-20 11:50:00
0
soumah.soumah75
soumah soumah :
logique
2026-06-30 00:40:16
1
user1231250865537
user1231250865537 :
Merci
2026-07-10 07:32:48
0
doura4261
IA TV :
😂😂😂😂😂😂😂😂
2026-07-05 10:46:10
0
skinnyb246
rãm's~ lhã~ mëuf~ skïnny :
ahahahha 😂😂😂
2026-06-29 12:38:08
0
aboubacarcamarato2
Aboubacar Camara Touré :
logique logique
2026-07-02 11:48:33
0
godisgr5
god is great 💯🙏 :
merci là-bas madame 😁
2026-06-30 11:10:11
0
kadiatoucamara8296
Møũvë Lhë Bøss :
vraiment hien
2026-07-29 23:45:33
0
mr.youssoufkoliacamara
Camara :
logiquement logique
2026-07-04 17:19:01
0
m.sdb1
moh :
logique vraiment
2026-07-04 12:51:24
0
karifa1992
Karifa 62015 :
vraiment
2026-07-03 14:16:16
0
babana.maf
Babana maf :
c'est logique 🥰🥰
2026-07-02 11:45:08
0
To see more videos from user @booba1607, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Licha ya kelele zote za umma kuhusu ufisadi katika sekta ya mafuta, hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Chura kiziwi kawa kiziwi kwelikweli. Taarifa zinazozunguka kwenye sekta hiyo zinaeleza kuwa biashara ya mafuta ya transit kupitia Tanzania imezidi kudorora. Kqmpuni za mafuta (OMCs) za Rwanda, Burundi na Malawi zilikataa kuchukua mgao wao kupitia mfumo wa Bulk Procurement System (BPS) kutokana na  gharama kubwa za ununuzi. Badala yake, zilitafuta idhini kutoka kwa serikali zao kuagiza mafuta kupitia utaratibu wa private cargoes, huku OQ ikitajwa kusambaza shehena hizo na Hass ikisimamia usafirishaji wa ndani. Aidha, kuna taarifa kuwa shehena nyingi za mafuta ya transit zilizohusishwa na Vitol, Namaro na TPDC zimeendelea kubaki kwenye matenki nchini Tanzania zikiwa zimewekewa zuio la kifedha (financial hold), jambo linaloibua wasiwasi kuhusu ufanisi wa mfumo mzima wa biashara ya mafuta nchini. Maswali mazito zaidi yanazuka kuhusu zabuni ya kipindi cha Septemba hadi Desemba, iliyofanyika tarehe 29 Mei.  Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, Namaro ilipewa zabuni ya kuingiza shehena moja ya dizeli kila mwezi kwa masharti yaliyoelezwa kuwa ya kipekee.  Aidha, kuna taarifa kuwa baada ya kelele mitandaoni, Serikali ilianza kutafuta namna ya kufuta zabuni hizo, lakini ikakumbana na changamoto kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni makubaliano ya malipo ya awali (prepayment) yaliyofanywa kati ya wahusika. Vile vile, katika zabuni hiyo, kampuni chache pekee, Sahara, Namaro, Addax na Augusta ndizo zilialikwa kushiriki. Inaelezwa kuwa  shehena zote nne za dizeli zilipewa Namaro, huku shehena 14 za petroli zikigawanywa kwa kampuni zilizobaki kwa sharti la kununua mafuta kutoka Vitol. Inasemekana  Sahara ilikataa kufanya biashara na Vitol na ikaruhusiwa kununua kutoka Reliance badala ya wasambazaji wengine kama Aramco. Mimi najiuliza kwanini zabuni za kimkakati zinaendelea kuzungukwa na malalamiko ya upendeleo na ukosefu wa ushindani wa haki? Kwa nini mfumo unaopaswa kulinda maslahi ya Watanzania unaonekana kuwanufaisha wachache huku ukidhoofisha ushindani wa Tanzania kama lango la biashara ya mafuta katika soko la kikanda? Watanzania wanastahili ukweli. Wanastahili uwazi. Wanastahili mfumo wa zabuni unaotanguliza maslahi ya Taifa, si maslahi ya watu au kampuni chache.  Rasilimali za Taifa si mali ya kikundi cha watu; ni mali ya Watanzania wote.
Licha ya kelele zote za umma kuhusu ufisadi katika sekta ya mafuta, hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Chura kiziwi kawa kiziwi kwelikweli. Taarifa zinazozunguka kwenye sekta hiyo zinaeleza kuwa biashara ya mafuta ya transit kupitia Tanzania imezidi kudorora. Kqmpuni za mafuta (OMCs) za Rwanda, Burundi na Malawi zilikataa kuchukua mgao wao kupitia mfumo wa Bulk Procurement System (BPS) kutokana na gharama kubwa za ununuzi. Badala yake, zilitafuta idhini kutoka kwa serikali zao kuagiza mafuta kupitia utaratibu wa private cargoes, huku OQ ikitajwa kusambaza shehena hizo na Hass ikisimamia usafirishaji wa ndani. Aidha, kuna taarifa kuwa shehena nyingi za mafuta ya transit zilizohusishwa na Vitol, Namaro na TPDC zimeendelea kubaki kwenye matenki nchini Tanzania zikiwa zimewekewa zuio la kifedha (financial hold), jambo linaloibua wasiwasi kuhusu ufanisi wa mfumo mzima wa biashara ya mafuta nchini. Maswali mazito zaidi yanazuka kuhusu zabuni ya kipindi cha Septemba hadi Desemba, iliyofanyika tarehe 29 Mei. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, Namaro ilipewa zabuni ya kuingiza shehena moja ya dizeli kila mwezi kwa masharti yaliyoelezwa kuwa ya kipekee. Aidha, kuna taarifa kuwa baada ya kelele mitandaoni, Serikali ilianza kutafuta namna ya kufuta zabuni hizo, lakini ikakumbana na changamoto kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni makubaliano ya malipo ya awali (prepayment) yaliyofanywa kati ya wahusika. Vile vile, katika zabuni hiyo, kampuni chache pekee, Sahara, Namaro, Addax na Augusta ndizo zilialikwa kushiriki. Inaelezwa kuwa shehena zote nne za dizeli zilipewa Namaro, huku shehena 14 za petroli zikigawanywa kwa kampuni zilizobaki kwa sharti la kununua mafuta kutoka Vitol. Inasemekana Sahara ilikataa kufanya biashara na Vitol na ikaruhusiwa kununua kutoka Reliance badala ya wasambazaji wengine kama Aramco. Mimi najiuliza kwanini zabuni za kimkakati zinaendelea kuzungukwa na malalamiko ya upendeleo na ukosefu wa ushindani wa haki? Kwa nini mfumo unaopaswa kulinda maslahi ya Watanzania unaonekana kuwanufaisha wachache huku ukidhoofisha ushindani wa Tanzania kama lango la biashara ya mafuta katika soko la kikanda? Watanzania wanastahili ukweli. Wanastahili uwazi. Wanastahili mfumo wa zabuni unaotanguliza maslahi ya Taifa, si maslahi ya watu au kampuni chache. Rasilimali za Taifa si mali ya kikundi cha watu; ni mali ya Watanzania wote.

About