@hellobestiiee: I just found a €27 brunch spot in Paris… this is what you get for €27. If you’re looking for a beautiful brunch in Paris, this place deserves a spot on your list. At @lecafepierre, you can enjoy a complete brunch for just €27, including a savory dish, a sweet dish, a hot drink, and a fresh drink. My order for €27: 🥘 Savory: Crispy Chicken Curry 🥞 Sweet: Pistachio Pancakes 🍵 Hot drink: Vanilla Matcha Latte 🥤 Fresh drink: Creatine Smoothie Perfect if you’re looking for: • the best brunch in Paris • affordable cafés in Paris • aesthetic brunch spots • a true Parisian café experience My mum approved it, so you can definitely trust her recommendation! Save this for your next brunch date in Paris. 🇫🇷♥️ #paris #parisbrunch #eating #paristravel

Hellobestiiee |UGC creator
Hellobestiiee |UGC creator
Open In TikTok:
Region: FR
Monday 29 June 2026 13:07:05 GMT
637
54
5
1

Music

Download

Comments

lorraine.pov
lorraine | 🇫🇷 in 🇨🇦 :
Qu’est ce que ça me manque ça 😭😭😭😭
2026-06-29 17:26:57
3
ema_drmq
Ema 🇨🇦 :
Ça à l’air incroyable 🤩 je note pour mes prochaines vacances à Paris
2026-06-29 15:57:13
1
hellobestiiee
Hellobestiiee |UGC creator :
Coucou ! Je suis en France pour les vacances 🇫🇷☀️et regardez où je suis allée @Café Pierre C’était absolument délicieux et vraiment abordable : pour seulement 27 €, vous avez un plat salé, un plat sucré, une boisson chaude et une boisson fraîche. Honnêtement, le rapport qualité-prix est incroyable !
2026-06-29 13:09:02
2
ml.luzia
maë luzia :
😍😍
2026-07-03 03:35:18
0
To see more videos from user @hellobestiiee, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Biashara ndogondogo zinazoweza kukupa faida nzuri haraka ukizifanya vizuri ni hizi: 1.	M-Pesa/Tigo Pesa/Airtel Money Unahitaji kibanda kidogo au sehemu yenye watu wengi. Faida unatoka kwenye miamala ya kutoa na kutuma pesa kila siku. Mtaji unaweza kuanzia laki 3–10 kutegemea eneo. 	2.	Chipsi, mayai na mishkaki Biashara yenye wateja wengi hasa jioni. Unaweza kuanzia nyumbani au stand za bodaboda. Faida ni kubwa ukinunua viazi na mafuta kwa jumla. 	3.	Simu accessories Uza charger, cover, earphones na protector. Vitu hivi vina mtaji mdogo lakini faida yake huwa kubwa sana kwa kila bidhaa. 	4.	Mitumba ya nguo au viatu Nunua bale ndogo au chagua sokoni kwa jumla kisha uza rejareja. Ukijua kuchagua nguo nzuri unaweza kupata faida kubwa haraka. 	5.	Perfume na cosmetics Perfume ndogo ndogo hupendwa sana hasa kwa vijana. Unaweza kuuza online kupitia WhatsApp na Instagram bila hata kuwa na duka. 	6.	Matunda na juice Nunua matunda asubuhi kwa jumla sokoni kisha uza maeneo yenye watu wengi. Juice safi huvutia sana kipindi cha joto. 	7.	Popcorn na karanga Mashine ndogo ya popcorn inaweza kuanzia mtaji mdogo. Faida yake ni nzuri kwa sababu mahindi na karanga si ghali sana. 	8.	Vocha na bundles Biashara rahisi kuanzia. Watu hununua muda wote, hasa karibu na shule, vyuo au vituo vya daladala. 	9.	Maandazi, chapati na chai Asubuhi watu wengi wanahitaji kifungua kinywa cha haraka. Ukipika vizuri unaweza kupata wateja wa kudumu kila siku. 	10.	Dagaa, samaki au kuku wa kukaanga Chakula kinauzika sana maeneo ya uswazi na stendi. Ukiwa na ladha nzuri wateja huongezeka haraka. 	11.	Delivery kwa bodaboda Kama una bodaboda au baiskeli unaweza kusafirisha chakula, parcels au bidhaa za madukani kwa malipo. 	12.	Printing na photocopy Karibu na shule au chuo biashara hii inalipa. Unaweza kuongeza huduma za typing, scanning na passport photo. 	13.	Kilimo cha mboga za haraka Mchicha, matembele na lettuce hukua haraka ndani ya wiki chache. Ukiwa na sehemu ndogo na maji unaweza kuingiza hela kila wiki. 	14.	Uuzaji wa vinywaji baridi na maji Friji moja tu inaweza kuanza biashara. Faida hutokana na mzunguko mkubwa hasa kipindi cha joto. 	15.	Biashara ya mtandaoni (online) Unaweza kuuza bidhaa bila duka kwa kutumia WhatsApp, TikTok au Facebook. Unapost picha, ukipata mteja ndio unanunua bidhaa kwa supplier. Mungu awabariki wote wanaonisupport ❤️”
Biashara ndogondogo zinazoweza kukupa faida nzuri haraka ukizifanya vizuri ni hizi: 1. M-Pesa/Tigo Pesa/Airtel Money Unahitaji kibanda kidogo au sehemu yenye watu wengi. Faida unatoka kwenye miamala ya kutoa na kutuma pesa kila siku. Mtaji unaweza kuanzia laki 3–10 kutegemea eneo. 2. Chipsi, mayai na mishkaki Biashara yenye wateja wengi hasa jioni. Unaweza kuanzia nyumbani au stand za bodaboda. Faida ni kubwa ukinunua viazi na mafuta kwa jumla. 3. Simu accessories Uza charger, cover, earphones na protector. Vitu hivi vina mtaji mdogo lakini faida yake huwa kubwa sana kwa kila bidhaa. 4. Mitumba ya nguo au viatu Nunua bale ndogo au chagua sokoni kwa jumla kisha uza rejareja. Ukijua kuchagua nguo nzuri unaweza kupata faida kubwa haraka. 5. Perfume na cosmetics Perfume ndogo ndogo hupendwa sana hasa kwa vijana. Unaweza kuuza online kupitia WhatsApp na Instagram bila hata kuwa na duka. 6. Matunda na juice Nunua matunda asubuhi kwa jumla sokoni kisha uza maeneo yenye watu wengi. Juice safi huvutia sana kipindi cha joto. 7. Popcorn na karanga Mashine ndogo ya popcorn inaweza kuanzia mtaji mdogo. Faida yake ni nzuri kwa sababu mahindi na karanga si ghali sana. 8. Vocha na bundles Biashara rahisi kuanzia. Watu hununua muda wote, hasa karibu na shule, vyuo au vituo vya daladala. 9. Maandazi, chapati na chai Asubuhi watu wengi wanahitaji kifungua kinywa cha haraka. Ukipika vizuri unaweza kupata wateja wa kudumu kila siku. 10. Dagaa, samaki au kuku wa kukaanga Chakula kinauzika sana maeneo ya uswazi na stendi. Ukiwa na ladha nzuri wateja huongezeka haraka. 11. Delivery kwa bodaboda Kama una bodaboda au baiskeli unaweza kusafirisha chakula, parcels au bidhaa za madukani kwa malipo. 12. Printing na photocopy Karibu na shule au chuo biashara hii inalipa. Unaweza kuongeza huduma za typing, scanning na passport photo. 13. Kilimo cha mboga za haraka Mchicha, matembele na lettuce hukua haraka ndani ya wiki chache. Ukiwa na sehemu ndogo na maji unaweza kuingiza hela kila wiki. 14. Uuzaji wa vinywaji baridi na maji Friji moja tu inaweza kuanza biashara. Faida hutokana na mzunguko mkubwa hasa kipindi cha joto. 15. Biashara ya mtandaoni (online) Unaweza kuuza bidhaa bila duka kwa kutumia WhatsApp, TikTok au Facebook. Unapost picha, ukipata mteja ndio unanunua bidhaa kwa supplier. Mungu awabariki wote wanaonisupport ❤️”

About