@0kidi: 🥭🍍🍌🍊 CRUNCH YA MATUNDA HALISI! Furahia ladha ya asili ya matunda kwa njia ya kipekee kupitia Freeze-Dried Fruits kutoka Okidi. Yenye virutubisho vingi, ladha tamu ya asili, na crunch inayokufanya utake zaidi! 😍 ✅ Hakuna mafuta ✅ Hakuna preservatives ✅ Virutubisho vingi vinabaki salama ✅ Snack bora kwa watoto na watu wazima ✅ Inafaa nyumbani, ofisini au safarini Tunapatikana na: 🥭 Embe 🍍 Nanasi 🍌 Ndizi 🍊 Chungwa 💰 Bei za 1kg: 🇹🇿 80,000 TSh 🇰🇪 4,900 KSh 🇺🇬 111,000 UGX 🌍 $31 USD 📍 Dar es Salaam, Tanzania 🚚 Tunatuma ndani na nje ya nchi. 📲 Instagram & TikTok: @okidi_freeze_dried_fruits_tanzania #FreezeDriedFruits #HealthySnacks #FruitLovers #HealthyLifestyle #MadeInTanzania @Ama Geneous

Okidi - Freeze Dry Tanzania
Okidi - Freeze Dry Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 29 June 2026 16:52:44 GMT
96543
2517
139
468

Music

Download

Comments

ummuhassanayn
ummuhassanayn :
Bei Gani embe kilo
2026-06-29 19:05:53
7
manmyself
️ :
Chakula akinuswi bro!
2026-07-01 02:27:07
8
wiztozzi_
🇰🇪𝗪𝗜𝗭𝗧𝗢𝗭𝗭𝗜🍁🧸 :
Kwann unusee broo😎
2026-06-30 13:28:51
2
_zuhr_1
🌸zuhra🌸 :
Ndizi bei gan?
2026-07-07 16:58:22
1
user9293762337205
G_ Nyaka🌺 :
asa mkitoa maji kwenye nanasi linabaki na ladha gani jamn🥺
2026-07-01 10:51:41
5
langumoyo
ummy Nadia :
unaweza kufanya juice hayo matunda yaliokauka ?
2026-07-09 17:50:01
1
kinoko68__ke
Ennie :
hayo maji tengenezeni tropical wine😊😊😊😊😊
2026-07-01 11:13:54
4
mabuyu.isiolo1
MABUYU STORE ISIOLO :
naitajii hayaaa
2026-07-02 22:32:58
1
omary246tamrina.e
omary246Tamrina Esmail omary :
unipe bei kilo
2026-07-24 09:55:02
0
bei_za_jumla_electronics
BEI ZA JUMLA ELECTRONICS :
na matikiti je ?
2026-07-01 22:14:38
1
ellymoshi
Elly Moshi895 :
mnapatikan wapi
2026-07-03 13:07:25
1
lyimo301
LYIMO :
tikiti vp mnakausha
2026-07-02 20:04:48
0
marjolainesaidi0
Lijos120 :
Machine naipata wapi na beyi gani dada?
2026-07-19 21:29:20
0
user49384812822312
user49384812822312 :
safi
2026-07-01 12:16:16
0
urumbi6
king D :
unaweza kutengenezea juice ayo matunda
2026-07-04 13:58:16
1
robsonyemma
Robson Nyak :
Machine inauzwa bei gani
2026-07-02 16:17:47
0
blessedjoseph0493
by-me. :
unapenda kumenya ndizi😅😅😅😅
2026-07-02 21:51:22
0
mabuyu.isiolo1
MABUYU STORE ISIOLO :
Niko kenyaa
2026-07-02 22:33:03
0
chief_odemba
Odemba Jr 🤴🏾 :
Kwaiyo hii ni ndizi, iliyo na maji ni nene na iliyokaushwa ni nyembamba
2026-07-20 08:45:42
1
user3932123451103
kaiwen 🇯🇲 :
kwani. mungu mjinga kuweka maji kwenye matunda
2026-07-02 06:40:14
4
nasri1jr
Pride Of Tz🇹🇿 :
Muvi name: Unapenda kumenya Ndizi 2023
2026-07-02 06:52:46
0
melidor.rr
🦋Sabrina🫦 :
Sasa maji mnapeleka wapi? Mna tengeneza juice ?
2026-07-05 21:28:52
1
user48775615226288
user48775615226288 :
miaka 25 tumekua majini ao chakula cha mjuku
2026-07-01 15:05:45
0
casto.maliyamungu
casto maliyamungu@451994 :
kwahiyo kilo 80,000😳😳
2026-06-30 18:00:55
0
user28763750
Allan Mackloudy :
Tatizo ni mwadishi hajui maswali yapi ya kuuliza na yepi sio ya kuuliza
2026-07-01 05:32:28
5
To see more videos from user @0kidi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About