@mzrh_tv: Afya yako ndiyo kipaumbele chetu! Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) imejipanga na imedhamiria kukupa huduma bora za kibobezi na kibingwa bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Tuko hapa kukuhudumia kwa viwango vya juu zaidi vya kitaalamu.

Mbeya Zonal Referral Hospital
Mbeya Zonal Referral Hospital
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 29 June 2026 17:59:56 GMT
42037
1735
60
63

Music

Download

Comments

happiness.fashion40
Happiness fashion 👚👖 :
Nipende kutoa shukrani zang za dhat kw hospital ya Meta mkoan Mbeya nimefanyiwa C/section hapo nilikuwa na ujauzito wa mapacha watatu madaktar walinifatilia mnoo bila kumsahau doctor Emmanuel Mwalimuli jmn Mung ambariki sana kanisimamia hadi mwisho pamoj na doctor Barak bungo jmn Mbarikiwe mnoo sahv Watot wang wapo vzr wanakuwa vzr mna alama kweny moyo wang ❤️❤️❤️
2026-07-01 13:34:09
8
jaymam08
jaymam :
mama yangu Alifia kweny hicho chumba 😭😭😭
2026-07-21 09:50:03
0
mareenjoh
Maren-joh :
Mungu ambariki Dr Kamala , Dr Paul wa hospitali hii walinihudumia vizuri mno🙏🙏🙏
2026-06-30 16:26:01
10
essiehomeappliances
Essie :
mbeya rufaa madaktari manesi yaani wote wako calm na huduma nzuri sanaa
2026-07-01 19:51:39
5
missdee0011
mom vin🥰 :
mungu awabariki doctor LUNEMO, DR.SHUMA kwa kunisimamia opression ya miguu! MUNGU awatunze
2026-06-30 19:10:12
6
emilianajordan
user2119796844805 :
Bg up sana Dr.Boaz,am so proud of you. May God bless you with your whole staff mates
2026-07-10 18:31:37
2
eva.monje6
Eva Monje :
Barikiwa Dr Mwasambili. nakumbuka nilifanyiwa opareshen mwaka 2018 kwa usimamizi wako mpaka leo sina shida
2026-06-30 15:16:34
2
gwantwamwambage98
mom G :
dr boaz
2026-07-01 15:06:52
2
allyngondya0
ally ng'ondya :
best of the best hospital ever MZRH
2026-06-30 18:28:44
2
drbjk
drbjk :
Hongera sana mtu wa MUNGU Dr Boaz proud of you
2026-07-12 06:31:23
2
tutimwaki0
tuti mwaki :
hongera sana Dr
2026-06-30 15:45:48
1
mnuel66
user5965186835335 :
Mungu akubariki sana dr mwasambili
2026-07-03 10:25:24
1
momjaylove1
mom J :
Madaktari mnafanya kazi nzuri sana, Ila Serikali iangalie kwa upya gharama za matibabu, ziko juu sana jamani, hapo rufaa ukifika tu dirishani ni 20,000/= hii hela kwa mwingine ni mtaji kabisaa wa biashara, Gharama zingepungua kidogo tunaomba sana
2026-07-07 12:51:58
0
user55756029638551
Mars😂💯✨ :
Referral Hospital 😊❤
2026-06-30 09:49:00
1
prince_venver
Prince_Venver :
Nice work happening there 👏!
2026-06-29 18:53:26
0
divinejoy070
joycemichael01 :
Mungu akubariki sana Dr Boaz
2026-06-30 15:21:47
1
mr.v.t2
Mr.V.T :
umetisha sana mwaisa
2026-06-30 06:19:15
1
my13123ha0
M💕a🦋dam 🌹G🌺 :
Umetisha kakaangu mwasambili❤️
2026-06-30 12:48:48
1
mlashani8
mlashani8 :
Mungu awaalinde madokta wetu mnafanya kazi nzuri sana hapa mbeya
2026-07-05 14:22:56
0
_nashy3614
nashy3614 :
home boy, hongereni sana kwa kazi nzuri na ngumu mnayoifanya. Mungu awabariki
2026-07-22 15:45:24
0
nownowtz
Glory to Glory :
This is so great
2026-07-18 15:32:07
0
happyemmanuel21
Haphiness mshigeni :
hongereni sana dactar Boaz nawakumbuk sana pamoja na DK Boniface,nkmungu awawek
2026-07-09 09:14:23
1
veronika.ezekia
Veronika Ezekia :
mwalim wangu jamn kitambo aloooo
2026-07-14 07:25:27
0
reaganshao
Masimbi19 :
Hongera Boaz
2026-07-07 19:23:44
0
d4lly41
Rebby :
waoohh kazini kwetu hongera sana chief
2026-06-29 19:21:54
0
To see more videos from user @mzrh_tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About