@jamalmotivator: Maneno yanayoishi mpaka Leo kutoka kwa #magufulispeech #jamalmotivator #foryou #motivationforyou #creatorsearchinsights

๛𝙅𝙖𝙢𝙖𝙡〄
๛𝙅𝙖𝙢𝙖𝙡〄
Open In TikTok:
Region: ZA
Tuesday 30 June 2026 08:21:49 GMT
69436
4845
87
202

Music

Download

Comments

jaguarofficial_99
Jaguar :
The greatest of all time (the real Goat 🐐🐐🐐🐐)JPM
2026-06-30 19:29:45
22
king._.joshua
joshuprime✌️✌️ :
alikuwa anaongea facts mwanzo mwisho🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2026-06-30 10:10:48
18
excess056
excess staff :
Gonga like kwa wale wanao mpenda magufuli mpaka sana na kumkumbuka
2026-07-10 13:29:38
17
kelveth
arbkelv45 :
mzee alipitia mengi magum aisee MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPOBI
2026-06-30 08:49:59
20
josepfrihx2
Mtumishi Odimary :
kipindi hicho tulikuwa na kiongozi😭😭
2026-06-30 14:02:59
10
steve.brand84
Steve Brand :
kudadeq saivi nadhan yanayoendelea ni pro and pro tena
2026-07-13 21:20:12
3
mrpengo04
🕋 NOTIFICATION :
Kwa kifupi sana Yaan kwa mwaka ni Tani 171 ×10 ni 1710 tani ukizidisha kwa thaman fany kama Gram Moja ni sawa na 200,000 usilete tamaa ya 250,000 au zaidi ww fanya 200,000 zidisha mara milioni 1.7 ambayo ndio kilo 170 piga mara Miaka 10 utajua ni sh ngap wamekomba huu ni ufwala tungetakiwa tusiwe tunakopa kopa kama vichaa Mwenyezi Mungu atuongoze kila jambo Lina mwisho😭😭😭😭
2026-08-08 12:18:52
3
abrahamsimon331
abrahamsimon331 :
Mwamba alikuwa noma sana
2026-08-07 09:13:14
2
hamisshasani
lecture,,🇹🇿 :
Duuuh,, Kwaheshimaa,,THE LEGEND IS NEVER DIE,, pumzikaa kwa amanii mzee wetuu,, umetuonexhaa nn maana yauwongozii ,,
2026-07-01 22:19:13
3
user72949138035392
Yusuph Robarth :
power magufuri
2026-07-22 19:57:39
1
ejide.maswali
Sarah machungwa :
Ni vigumu sana kuamini hakika😪😪😪
2026-06-30 09:56:45
9
husein.saidi2
Husein Saidi :
ndio
2026-07-23 23:38:29
1
jems.mapunda
Mapunda.Jalome. :
ila magu tunakukumbuka sanaaa ila daaa
2026-08-01 07:03:33
1
mayayapanch10
Mayaya Panch10 :
upumzike salma
2026-08-05 07:45:16
1
luga.mobile
Luga Mobile :
LEGEND
2026-06-30 09:31:40
4
rhodasaid252
Rhoda Said :
pumzika Kwa aman baba
2026-06-30 18:15:54
6
rashidliomeka
Rashid Liomeka :
vjana tuna putia magumu sana 🥺
2026-08-02 19:11:59
1
user4143759082524
Ezekiel juma.k :
daah nimesikiliza. mda sana
2026-06-30 10:00:23
4
mwitamagesa280
Mwita Magesa :
kweli mzee ulikua makini sana hua najiuliza?. ntakuja kumpata RAIS hapa tz kama wewe kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2026-07-23 17:45:48
1
samlion73
samlion :
watu wametulia, wanasikiliza kwa umakini mkubwa. leo hii wameyasahau haya yote🥺🥺
2026-07-10 15:30:49
1
user481431696075
James ndibato :
very genius prezoo ever
2026-06-30 20:09:53
1
excess056
excess staff :
Alikuwa mwamba sana magufuli ni mzalendo sana nchi hii angepewa zaid ya miaka 10 tungekuwa mbali sana na alitufungua macho sana wa tanzania
2026-07-10 13:28:54
2
lenard.76
Lenard 76 :
hii inchi inastaili raisi kama huyu kiuchumi zaidi
2026-07-14 08:34:33
0
majid.issa4
Majid Issa :
Mpambe wa magufuli niliye muelewa sana uyu apa😭😭😭😭😭😭
2026-06-30 21:47:39
0
To see more videos from user @jamalmotivator, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About