@ablenty_sadock: Nimepata neema ya kuwepo kwenye moja ya mazoezi ya mwisho mwisho🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Moja ya watumishi wa Mungu wenye neema kubwa sana ya Mungu ni @Eliya Mwantondo mimi nikusihi sana rafiki yangu kama unamfaham ama umeshawahi hudumiwa nae basi tuungane nae mara hii tena kama bado basi Jumatatu ijayo pale @vcctmbezibeach njoo na matarajio ya kukutana na Yesu mwenyewe na hakika utahudumiwa. Ni bureee kabisaa Mtu wa Mungu usiache kuja tena na rafiki yako🙏🏾