dah barotel ndo kawa ivi 😭😭😭😭nimecheza tulichukuliwa na simba mwaka 2012 tulikuwa timu ya vijana u17 chini ya makocha mzee king kibadeni, selemani matola , mwaka mwarusi, kasongo athumani, meneja wakati ule Patrick rwemamu ambae sasa ivi ndio meneeja wa timu kubwa,! yeye namba tisa mimi namba kumi, uyu akaondoka akaenda azam yeye na Joseph kimwaga ,akacheza stend united dah dunia hiii😭😭😭umekutwa na nini mwamba? bro naomba namba zake kama utasoma hii comment yangu! Naitwa mogella feruzi, walizoea kuniita golden boy
2026-06-30 20:43:21
86
zahra :
Mwenyez Mungu atakupa zaidi ya Kila ulichokipoteza inshaallah
2026-06-30 10:52:20
90
AHMED KIBISHOW😛😛 :
wallah nimelia
2026-06-30 20:28:09
2
Tum bey :
Amelia Kwa maumivu sana roho imeniuma pole mungu atakupambania kaka
2026-06-30 19:41:09
26
queen kessy 🧚💕💕 :
kama hana mpenzi namuombeni huyu 💔anayo upendo wa kweli
2026-06-30 16:27:13
28
benleebl :
huyu kibaka
2026-06-30 20:28:56
6
prince Aido12 :
na hii pua mi nataka story yake 🤔🤔
2026-06-30 19:45:29
14
GREAT SACRIFICE :
ila unafungu lako kwa allah 🙏
2026-06-30 13:17:06
39
@MICHAKATO FOR LIFE 📱KIGAMBON :
oyaaaa HAYO maumivu anayopitia huyu jamaaa omba sana yakukute😭😭😭
mungu mwingi rehma sana..sote tunakutegemea wewe
2026-06-30 20:09:16
18
Burton :
dah! uyu mi mwanangu niliishi nae kinondoni Brazil pale,ni bonge moja la player,East Africa kwel dharau km make 🥺
2026-07-01 08:57:00
6
user9069668842945 :
pole sana.hongera kwakumuuguza bi mkubwa .Mungu ameona upendo wako
2026-06-30 11:49:26
23
Dave Asap :
Balotelli Tandika Mabatini Fundi sana mzee
2026-06-30 17:57:16
21
Malcom X wa pili :
Haya maumivu hayavumiliki kabisa
2026-06-30 12:54:47
13
Nkaina jr :
sometimes watu wanakua ni maskini so kwamba hawakutafuta but ni mazingira ya maisha tuko tunapitia kila siku bro anaongea kirahisi ila ndani ya hayo maneno bro 💔💔💔💔💔💔💔 we acha yote kabs apo kwenye nilipoacha kazi .....💔💔💔 😭🙏
2026-06-30 21:35:29
11
Gao The Fixer :
Wallah hakika Mungu atakulipa… Ameen…
2026-06-30 17:05:56
11
October boy :
Dah huyu mchizi alikuwa bonge la striker Azam B mwaka 2011
2026-06-30 20:56:27
6
MATUID AC :
broo pole
2026-06-30 20:18:02
1
paulfranc2 :
Dahh pole brother 🫡🫡🫡🫡
2026-07-01 12:39:21
0
Shaibu Mkana :
Pole sana Balotel nakukumbuka yote uliyopita ni mungu.Ck ukipata nafasi hebu tembelea home nayajua uliyoyapitia.
2026-06-30 15:36:58
10
Rita :
Pole sana kakangu jamani inauma sana 😭😭😭
2026-06-30 11:32:46
6
JitaMbue🤔⛔ :
Strong sana kizazi.. Eebwaeeeh wazi chozi linanafasi kwa story hii..
2026-06-30 12:06:18
5
MSELI FASHION :
pole sana kaka
2026-07-01 12:35:03
3
cute lips :
ila uyu jamaaa km nilisoma nae vituka secondary😌
2026-07-01 10:31:56
0
Juma Julius :
bro kayazuia machozi lkn imeshindikana😞
2026-07-01 13:15:22
3
Hope Mduma :
iyo ndiimbaya saanaaa iyoooo
2026-07-01 11:05:10
3
To see more videos from user @shebbyalawi8, please go to the Tikwm
homepage.