@mkakamweusii: Mama Mchungaji akutana na ukosoaji mkali mitandaoni baada ya kusambaa kwa video zake akitoa ushauri kwa wanawake. Maoni ya wakosoaji yanadai kuwa Mchungaji anatumia Hisia na Maumivu ya kuachwa na mume wake kuwajaza ujinga wanawake wengine hususani mabinti wadogo. “Ndoa yake imemshinda kageuka kuwa mshauri wa ndoa za watu wengine, anachokifanya ni kuwafundisha mabinti kuwa washindani wa waume zao na sio uhalisia”#creatorsearchinsights #creatorsearchinsights #creatorsearchinsights #creatorsearchinsights #creatorsearchinsights