@uhuruonline: #MICHEZO : USHINDI wa mabao 3-0 iliyoupatà Yanga dhidi ya JKT Tanzania, umeifanya miamba hiyo kutwaa taji hilo mara 5 mfululizo Ligi Kuu Tanzania Bara. Yanga imebeba taji hilo baada ya kuvuna pointi 72 katika mechi 30 ikifuatiwa na mtani wake Simba yenye pointi 70. Katika mchezo huo, mabao ya Yanga yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Depu. #burudani #sports

uhuruonlinetz_
uhuruonlinetz_
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 30 June 2026 15:47:21 GMT
3809
90
0
3

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @uhuruonline, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About