mm nilikua na mke wang nimemuoa akasema amechoka kukaa na mm nikambembeleza hakuelewa akaondoka mpaka sasa anaomba kurudiana na mm na mm ninamke ameomba awe ata mchepuko wang ๐๐๐๐๐๐๐ sometime anapga sim nampa mke wang anamuulza ww nan ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ad raha mwanamke sio wa kulazimisha kukaa nae
2026-08-01 11:10:46
5
OmoshwaBenta :
Shukrani dada.
2026-07-17 00:38:07
1
user8859318135043 :
yes ukweli ndio huo
2026-07-29 15:32:33
2
user Elikana elick kasanga :
nakubali dad
2026-07-23 19:16:07
2
Jackson Mayala :
mungu akutie nguvu unasema tu ukweli
2026-08-20 17:33:34
1
babuu :
KWELI DADA๐๐๐
2026-07-29 14:41:56
1
0749911331 :
Lakin simuachi aende na mtoto wangu
2026-08-04 11:43:39
2
Meshack Kaundama :
dada kama umeolewa basi nakuombea sana ndoa yako idumu
2026-08-02 13:28:38
2
keraye :
kweli kabisa
2026-08-06 10:36:10
1
mara :
Nakukubali sana dada, wewe ni zaidi ya mwalimu.
2026-08-01 13:44:03
2
ELECTRICAL DOCTOR AC&DC :
sema dada ana sema maisha..ya.mtu
2026-08-01 20:47:34
2
ali mzee :
Duuu ningeeka stutus ila napata kigugumizi ayo maneno naambiwa kila siku ila Asante kwa wazo wacha nimuache aende
2026-07-15 11:21:41
4
said khamiss :
mhuu dada umeniona mimi au
2026-07-07 14:16:00
4
Mr:dube :
voice plz
2026-07-02 02:46:02
5
sami vunakingir :
mungu akubariki dadangu
2026-07-02 04:59:24
3
Kelvin Laurian :
nime kuelewa mama
2026-07-03 10:08:02
3
user6712246930788 :
yaani mrembo nimekusikiliza saana kwa makini kwakweli ubarikiwe na bwana saana kwa ushauri wako mzurii
2026-07-16 12:10:04
2
To see more videos from user @mathayosangason, please go to the Tikwm
homepage.